TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Kinabeba baiskeli ngapi, na abiria wangapi?
Unanikumbusha mbali sana, nakumbuka siku niliyokwenda sakura nilivuka mto pangani kwa mtumbwi kivuko kilikuwa kibovu, Anyisile acha ushamba hilo si bwawa la maji taka nenda, Pangani ni moja ya miji ya kwanza iliyostaaribika jaribu kusoma historia ya Tanganyika
moyo wako umejaa hasira sana,tatizo lako nadhani hujatembea , Pangani ni mji wa kihistoria na ni pazuri hapo unapopaona ni Bweni mto Pangani unapoingia bahari ya Hindi, sina jazba unanishangaza unapouliza bwawa la taka linahitaji kivuko sasa huo tuite ushamba au dharau?
Wacha dharau wewe...he kweli huko ni tanga, hilo c bwawa la maji taka? nalo lina kivuko
bora uwaambie kaka! hawa wabeba mabox! ..tatizo lako nadhani hujatembea , Pangani ni mji wa kihistoria na ni pazuri hapo unapopaona ni Bweni mto Pangani unapoingia bahari ya Hindi, sina jazba unanishangaza unapouliza bwawa la taka linahitaji kivuko sasa huo tuite ushamba au dharau?
Wacha dharau wewe...
moyo wako umejaa hasira sana,
kwani wewe kutembea kwako umetembea dunia nzima bwana? acha zako za kuleta hapa, dharau maana yake nini hebu ondoka hapa,
kama uliona kuna haja ya kunifahamisha juu ya hicho kimji kwa nini usifanye hivyo, kuita ushamba na wewe ndiyo ugreat thinker wako huo,
yaaani na wewe ndiyo sehemu ya kujiona umetembea sanaaaa! kufika pangani na saa ingine hujatembe bali umezaliwa huko,
kuwa mpole siyo unajifanya much know
usiwe kujifanya unajua wewe siyo lazima uposti kitu hata kama huna wewe umetembe mpaka wapi? eboo kaa kushoto na hasira zakoSasa wewe unaambiwa unaanza kuleta jabza! acha ushamba tembea! Ndani ya nchi yako uone! ..
yaani na wewe kufika kwenye hako kabonde unaona umetembeaaa! hayo siyo maeneo ya mimi kutembea bwana kama ni ushamba kutofika pangani bora niwe mshamba, niache kutembelea maeneo ya kweli nihangaike na pangani kawaambie wanafunzi wa shule za msingi na chekecheaWacha dharau wewe...
Kivuko cha MV Pangani kikivusha wananchi wa Pangani leo. Kivuko hiki ni mojawapo ya ahadi zilizowekwa na Chama cha Mapinduzi 2005, ya kuwaletea wananchi wa Pangani kivuko cha uhakika:
he kweli huko ni tanga, hilo c bwawa la maji taka? nalo lina kivuko
Unanikumbusha mbali sana, nakumbuka siku niliyokwenda sakura nilivuka mto pangani kwa mtumbwi kivuko kilikuwa kibovu, kivuko ni cha zamani sana nakumbuka wakati ule walikuwa na mpango wa kuleta kivuko cha Rufiji ili kifanye kazi Pangani, ahadi hii ya kivuko sijui wataitekeleza lini, si kivuko ukifuatilia ahadi zao waliwahi kusema watajenga barabara kwenda Dar kupitia pangani hadi Bagamoyo kwa ni karibu zaidi ukilinganisha na barabara ya Chalinze; Anyisile acha ushamba hilo si bwawa la maji taka nenda katembee Pangani ujionee mwenyewe mandhari yake, Pangani ni moja ya miji ya kwanza iliyostaaribika jaribu kusoma historia ya Tanganyika