Hii ndo sifa kubwa ya Mwanaume......!!!

Hii ndo sifa kubwa ya Mwanaume......!!!

what is kuperform? mwanaume pesa wewe, usintanie kabisa wewe......... i have not imagine the love affairs withou money.....
 
Usidhani wanawake wanaendeshwa na nyege. Kwenye vitu vya muhimu katika mahusiano kwa wanawake hilo laweza kuwa la mwisho au karibu kabisa na la mwisho. Kujua hilo ni msingi utakaokusaidia katika mahusiano yako na wanawake.

Well if you say so! I believe you
 
Na sifa kubwa ya Mvulana ni kusoma kwa bidii na kuongoza darasani...............
 
kutunza mkeo na watoto wako na mama yako na dada zako

wasije kuomba omba au kudhalilishwa na wewe upo...

hiyo ndo first ....
vijana wa kiume tunajisahau kulko ata dada zetu apo umetaja mama..mkeo..watoto..dada ..vp baba yako aliyekuzaa tuache upuuuz baba sna umuhmu mkubwa mikumbo itawaponza
 
Tunaangalia upendo tu kama hana upendo na wewe hata kama awe anagegeda kama nyani,,utasumbuka bure
 
Back
Top Bottom