Hii ndo michepuko ya ndoa...

Hii ndo michepuko ya ndoa...

Sometimes unawaza unaona bora usioe..ila upweke unakuwa kikwazo, na maadili, watoto wazaliwe katika ndoa kama wewe ulivyozaliwa na kulelewa kwenye familia moja yenye baba mmoja na mama mmoja!

A big challenge..Lord help us!

Usipooa umeavoid majanga ya mchepuo wa mke what about majanga utakayopata wewe ukiwa unachepua? unless uamue kuungana na baba paroko once and for all
 
Sometimes unawaza unaona bora usioe..ila upweke unakuwa kikwazo, na maadili, watoto wazaliwe katika ndoa kama wewe ulivyozaliwa na kulelewa kwenye familia moja yenye baba mmoja na mama mmoja!

A big challenge..Lord help us!

Ndoa bila michepuko inawezekana....
 
Kamwe usijenge dhana kwamba kwa kuwa mwenzako anatoka nje ya ndoa na wewe utoke...huko ni kujipalia makaa kichwani. Mungu alimpa kila mtu roho yake na siku ya hukumu kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake mwenyewe. Mwenzako akichepuka piga magoti endelea kumuita Mungu...hakika ataitika

an eye for ana eye makes the worl BLIND
 
bora kutokuoa/kuolewa kuliko kua msaliti

kutokuoa ndo mkutakufanya usiwe na mchepuko? coz michepuko inaanza huko chini na ukiingia kwenye ndoa unaona kawaida na unaendelea kuchepuka tuu
 
Usipooa umeavoid majanga ya mchepuo wa mke what about majanga utakayopata wewe ukiwa unachepua? unless uamue kuungana na baba paroko once and for all

Uparoko siuwezi kabisa aisee...

And as I said, it's just a big challenge kuliwaza hilo kwa sasa but am sure one day I will overcome that..when I find the right one...!

Na Mungu atusaidie sote.:flypig:
 
Ushazoea match za kiarafiki na wengineo tangu mpo bf/gf hadi ndoani itakua aluta continua.....ndo usugu wenyewe kashinde anauongelea

kwahiyo ambaye hajacheza hizo "mechi za kirafiki" ndio atatulia barabara kuu???
 
Uparoko siuwezi kabisa aisee...And as I said, it's just a big challenge kuliwaza hilo kwa sasa but am sure one day I will overcome that..when I find the right one...!Na Mungu atusaidie sote.:flypig:
"Even a snail will eventually reach its destination" sembuse weye mkuu...........Mungu atakua mwema hata kwa hilo
 
Sometimes unawaza unaona bora usioe..ila upweke unakuwa kikwazo, na maadili, watoto wazaliwe katika ndoa kama wewe ulivyozaliwa na kulelewa kwenye familia moja yenye baba mmoja na mama mmoja!

A big challenge..Lord help us!

Mkuu kuna wengine tumetokea kwenye single parent family .
 
Mkuu kuna wengine tumetokea kwenye single parent family .

Je, katika tafakuri zako (bila kujali sababu ya wewe kulelewa na single parent) hutamani kuwa na mkeo mmoja na watoto mkaishi pamoja?

Kama ndivyo, hiyo ndiyo maana yangu.
 
Kamwe usijenge dhana kwamba kwa kuwa mwenzako anatoka nje ya ndoa na wewe utoke...huko ni kujipalia makaa kichwani. Mungu alimpa kila mtu roho yake na siku ya hukumu kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake mwenyewe. Mwenzako akichepuka piga magoti endelea kumuita Mungu...hakika ataitika

Well said mkuu... This is the way I am!!!
 
Mchezo huu mkuu inabidi ucheze salama na anayestahili...
sina uhakika kama nimepata jibu mkuu
usalama wa huu mchezo ni upi kaka maana hata juzi gazeti la mwananchi limeeleza mambo kedekede yanayoweza haribu kichwa tokana na huu (mchezo) bila kujali kama unachezwa baina ya wanaostahiliana ama la
 
sina uhakika kama nimepata jibu mkuu
usalama wa huu mchezo ni upi kaka maana hata juzi gazeti la mwananchi limeeleza mambo kedekede yanayoweza haribu kichwa tokana na huu (mchezo) bila kujali kama unachezwa baina ya wanaostahiliana ama la

Hahahah!!

Mchezo salama ni zile mechi zote official ambazo zinatambuliwa na shirikisho la ndoa, mechi za mchangani achana nazo kabisa kwanza huko wachezaji hawajakatiwa bima ya afya.
 
Back
Top Bottom