Anaweza kubaki kama kada, kinachotakiwa ni nguvu yake ya ushawishi na pia kuheshimika na watanzania. Halafu hiyo sheria haizuii yeye kuteuliwa kugombea urais visiwani.Na si hivyo tu mkuu, hata kugombea nafasi yoyote Maalim Seif hataruhusiwa. Maana sheria mpya inamtaka kukaa miaka 3