ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,850
Kwani UKAWA imesajiliwa kama ni chama? Kwa hiyo watalazimisha kila chama kusimamisha mgombea? Ni makubaliano tu ya vyama kuamua kuachiana majimbo, hakuna sheria itakayoweza zuwia hivyo. In 2010, Lipumba alisema apigiwe kura JK. 2015 Mrema alisema apigiwe kura JPM na hawa hawakuwa na UKAWA wala UFUNIKO!Sheeia mpya ya vyama vya siasa umeisahau ndugu yangu? Chini ya sheria hiyo hakuna kitu kinaitwa ukawa. Tatizo mnajidanganya sana yaani hadi mnatia huruma.
CCM ni chama dume na kitaendelea kutawala hadi milele.
Sent using Jamii Forums mobile app