Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Wewe inaonekana ni mwanamke mchafu sana.... Yaani ndugu yangu naamini hawezi kufanya huu upimbi unao utetea hapa, hii inaonyesha wewe ni mchafu kiwango wa kimataifa.. Stupid cretureAngekua ni Baba yako huyo au ndugu yako ungempiga picha na kumuanika hapa? What if wewe ndo ungekua huyu konda halafu mtu akupige picha na kukuanika mtandaoni ungejiskiaje??