Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Hii ndiyo Serikali ya wanyonge?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata mafungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge
FB_IMG_1557563960874.jpeg
 
Back
Top Bottom