Aisee douh! hiyo elfu ishirini anaipata baada ya wiki hapo matumizi mengine bado.looh kweli magu kafuliaAngalia hao wengine wanavyosikitika.



."NIKIWA RAIS MTALIMIA MENO"Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Kama walivyofanya wazimbabweTunayaona sasa yanatimia
Chama cha Mashetani.Hapo chini anaonekana mkuu wa wilaya akimlazimisha mama muuza mchicha kununua kitambulisho kwa sh 20000 wakati huo mchicha wenyewe hata magungu ishirini hayafiki.
Huku ndiyo kuwatetea wanyonge View attachment 1093921
Hivi mkuu wa wilaya hana kazi mpaka akauze vitambulisho ambavyo havikidhi kikatiba?Kama walivyofanya wazimbabwe