Hii ndiyo sababu ya ukimya wa CDF MKUNDA

Hii ndiyo sababu ya ukimya wa CDF MKUNDA

Sijui ni kipi kinachotushangaza hata tusiamini ni ngumu kwa CDF kuwekwa chini ya ulinzi.

Jenga picture ya kijana wako anaekuuzia duka la siraha , kwa watu wengine anaweza akawa anatisha na kuogopeka sana kwa sababu ya picture ya nje kutokana na aina ya ile mizigo wanayomkuta nayo pale ,lakini vipi atakapokuwa anaongea nawewe ? Wakati mwingine huja akiwa amevaa vest na bukta mko bustanini mnapiga story.

The same apply kwa mkuu wa majeshi ,anatisha pale anapokuwa na watu wengine huku chini ,lakini inapotokea ameitwa na Boss wake kikatiba(Rais) yule aliyemvisha vyeo mabegani na kifuani unadhani anacho cha kujitingisha mbele yake ?

Ninachohisi nikwamba yawezekana aliitwa tu friendly nae akaenda alivyofika watu wakafunga mlango nakumuweka kwenye himaya kisha wakampa utaratibu.

Nanusa kaharufu ka kusalitiana

Yazekana upande wa pili wa Mafwele na team yake walishaustukia upande wa team ya upande wa CDF ,Polepole ,Tesha na baadhi ya macaptain wengine

Kilichofanyika nikwamba upande wa CCM wakapandikiza midle man (mtu wa kati) ambae atakuwa ananyonyabtaarifa kwa CDF nakuzipeleka kwa upande wa CCM .
Yawezekana hata mkakagibwa Polepole kurejeshwa Bongo ni hesabu za mbali , hata ujio wa Polepole unaonekana ni ujio wa kijasusi kabisa ule kuwa afike ,afichwe na aendelee na shughuli zake kama kawa ili aendelee kuamini bado yupo salama .

Kunajicho jingine lakidadisi huwa namtazama Captain Tesha kama alikuwa kiungo mchezeshaji ,aliyepandikizwa kwa lengo maalumu ili team B waweze kuwascan wasaliti jeshini na baadae waweze kumalizana nao.

Huku wao wakitengeneza mazingira ya tarehe 29_10 wenzao walikuwa wakiwasomea ramani kistaarabu tu .

Naona uhusiano huo huo ndio uliyomuhakikishia Polepole asiwe na sababu ya kuogopa kukaa Tanzania kwasababu aliamini yeye atakuwa chini ya mbawa za CDF bila kujua kuwa huyo CDF ni kijana tu wa watu .

Yawezekana aliulizwa nae akajibu kuwa tupo pamoja ,lakini majibu yake hayakuaminika sawasawa ndiyo maana jamaa wakawa na power back up , na hiyo power back up ile ya waganda siyo kwamba jamaa haijui ila hana namna .

Hii movie huko tunakokwenda inakokwenda inakwenda patamu tuwe tu wavumilivu.

Alichokoseani nikuto kuchagua uoande
 
Inasemekana ni mashushushu… watu wa geti jeusi

..CDF ana ulinzi wake maalum.

..huwezi kumfikia kabla hujapambana na Military Police.

..sasa hao mashushu waliwaondoaje na MP na kuanza kumshikilia CDF.

..Na ukiacha hilo Jwtz na wenyewe wana mashushushu wao. Zaidi, Jwtz lina watu wengi, na silaha nzito, kuliko za mashushushu.
 
..CDF ana ulinzi wake maalum.

..huwezi kumfikia kabla hujapambana na Military Police.

..sasa hao mashushu waliwaondoaje na MP na kuanza kumshikilia CDF.

..Na ukiacha hilo Jwtz na wenyewe wana mashushushu wao. Zaidi, Jwtz lina watu wengi, na silaha nzito, kuliko za mashushushu.
Hivi unafikiri usalama wanajitangaza kuwa usalama
Anaweza kuteua wasaidizi

Kati sehemu yenye wanausalama wengi ni jeshini
 
I have strong feelings mkunda wakati anasoma lile karatasi alikuwa anaongea kwa uchungu huku ameshikiwa Mitutu
 
Could be speculations.
Kuhusu Kuwa na nguvu, did you not get that clip ya Mafwele akizungumza kuhusu yeye kumdhibit cpt Tesha?. Since when is a member of the military disciplined is such way. It seemed to me, Mafwele yupo juu ya taratibu za kijeshi. It that is so, what can he not do?
tuna thibitisha vipi clip hio?

Maoni yangu jeshi linataarifa ya hali ya usalama kwa kina kuliko tunavyo fikiri, na wameenda na situation kwa weledi wa hali ya juu mpaka.
 
Hivi unafikiri usalama wanajitangaza kuwa usalama
Anaweza kuteua wasaidizi

Kati sehemu yenye wanausalama wengi ni jeshini

..ukitaka kumkamata Mkunda inabidi umvue Ucdf.

..baada ya hapo unamuagiza Cdf mpya akamkamate Cdf aliyestaafishwa.

..jeshini hakuna jambo lolote linatekelezwa bila kufuata chain of command.
 
NAONA WATU WANABEBESHANA ITAKUWA HIVI ITAKUWA VILE, KIUFUPI KILA MTU KAHUSIKA, HAIWEZEKANI ETİ UMESHIKIWA MTUTU WA BUNDUKI UTOE KAULI NA WEWE NI MKUU WA JESHI NA WEWE UNASEMA VILE UNAVYOAMBIWA.
BASI WEWE UTAKUWA SI MKUU WA JEAHI TENA,
MARA MKUNDA MARA MAFWELE MARA USALAMA, KUMTOA LAWAMA HUYU NA KUM-BEBESHA MWENGINE. WOTE WAHUSIKA.
HIVI NYIE HAMJUI KUWA WAZANZIBARI WALIANDAMANA SIO MARA MOJA NA WANAISHIA KUULIWA TUU, KUTIWA VILEMA VYA MAISHA MARAZOTE BILA YA MABADILIKO YOYOTE YANAYOZAA BAADA YA MAANDAMANO.
WANAJUA MAUWAJI NA KUWAMLIZIA ULEMAVU NDIO KITAKACHOFUATA KWA HIVYO KIMMYA CHAO SAIVI WANAKIJUA WENYEWE MAKUSUDIO YAKE.
CCM ZANZİBAR HAITAKIWI HIVYO HIVYO LAKINI HAWAJAMBEBESHA LAWAMA MKUU WA MAJESHI WALA NANI NA KUDHANI ITAKUWA VILE AU HIVI.

MARA HII TUU NDIO HAWAJAANDAMANA MAANA NA WAO YALIYOFANYIKA BARA NDIO YALIOFANYIKA ZANZIBAR.
KURA ZIMEENDA KUTAJWA TOFAUTI NA ZILIZOKO VITUONI, WATOTO WADOGO WALIVALISHWA SARE ZA JESHI WAKAPIGE KURA, MTU MMOJA KAPEWA KURA TANI APIGE.
 
Msitegemee chochote, huyo CDF ni kada wa CCM kama kina Mwijaku na chawa wengine wasiojielewa, mabadiliko yataletwa na wananchi wenyewe, na maandamano yamewapiga shock tayari, it will take time, ni kupiga pressure tuu kama tulivyoanza na maandamano ambayo naona yamefanikiwa sana
 
Kwani unafikiri usalama hawako jeshini ?
Kwani aliyemweka kwenye hiyo nafasi na wasidizi wake hawezi kuwa usalama ?
Jeshini wana Military intelligence, branch yao ya intelligencia, kama TISS . Nao wapo vizuri japokuwa hawasikiki
 
Msitegemee chochote, huyo CDF ni kada wa CCM kama kina Mwijaku na chawa wengine wasiojielewa, mabadiliko yataletwa na wananchi wenyewe, na maandamano yamewapiga shock tayari, it will take time, ni kupiga pressure tuu kama tulivyoanza na maandamano ambayo naona yamefanikiwa sana
CDF has failed the people, amepoteza credibility
 
Nifundisheni namna ya kuanzisha uzi wako...please please
 
Back
Top Bottom