nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Umeona eeh
Japan kwenyewe waziri mkuu aliyedumu muda mrefu ni Koizumi; na ni miaka 4. Abe aliwahi kutawala less than a year.
Sasa nambie kama wangekuwa wanayumbishwa na sera za kisiasa wangekuwa hapo walipo?
Wanasiasa wanaua hii nchi...
Nakwambia South East Asian Countries zote wanajua kuwa maendeleo yao yameletwa na bureaucrats na wala si chama fulani wala mwanasiasa fulani. Na mtu akisema yeye ni bureaucrat ni heshima kuuubwa kwa wananchi wanaomzunguka.
Japan kwenyewe waziri mkuu aliyedumu muda mrefu ni Koizumi; na ni miaka 4. Abe aliwahi kutawala less than a year.
Sasa nambie kama wangekuwa wanayumbishwa na sera za kisiasa wangekuwa hapo walipo?
Wanasiasa wanaua hii nchi...
Nakwambia South East Asian Countries zote wanajua kuwa maendeleo yao yameletwa na bureaucrats na wala si chama fulani wala mwanasiasa fulani. Na mtu akisema yeye ni bureaucrat ni heshima kuuubwa kwa wananchi wanaomzunguka.
Wanasiasa ubadilika kila muda, lakini civil service haibadiliki. Ingekuwa nao wanabadilika kwa mtindo wa wanasiasa nchi zisingekuwa endelevu na stable. Ebu fikiria Italy ambako walikuwa wakibadilisha Serikali kila miezi Sita au mwaka mmoja, hali. Ingekuwaje? Watu hawabainishi ama kwa kutokujua au vinginevyo kati ya civil service na political leaders. Ili ndilo tatizo lililopo sasa hapa nchini ukiwasikiliza viongozi wa Chama tawala kwa kauli na kuangalia matendo yao.