Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Wanafunzi wote walioomba mkopo wa kusoma Elimu ya juu wamepata, hii haijawahi kutokea tangu wimbi la vyuo na wanafunzi lilivyoikumba TanZania, na hii yote imewezekana ndani ya mwezi mmoja tu wa Magufuli wetu madarakani, hii sasa ndiyo ,,change we can believe in" ile ya Obama ilikuwa ni slogan tu!
Msisahahu pia sasa ni dhahabu yetu karibia itaanza kuchekechwa hapa hapa nyumbani badala ya mchanga kupelekwa nje ya nchi!
Pia kwa tajiri ameshindwa kununua Haki TanZania jambo ambalo siku chache zilizopita lilikuwa haliwezekani naam Manji amenyang'anywa Coco Beach na kurudishwa kwa wakazi wa Dar Es Salaam haya yote ndani ya mwezi mmoja tu madarakani, kunzia mwezi ujao hakuna ada wala mchango wowote ule kwa mtoto wa Kitanzania anayesoma kwa kifupi kusiwe na kisingizio cha mtoto kutokwenda shule haya yoote ndani ya mwezi mmoja Tu madarakani sasa kama hii siyo change we all can believe in basi labda sielewi maana ya hiyo sentensi!
Magufuli wetu hakunaga!
Msisahahu pia sasa ni dhahabu yetu karibia itaanza kuchekechwa hapa hapa nyumbani badala ya mchanga kupelekwa nje ya nchi!
Pia kwa tajiri ameshindwa kununua Haki TanZania jambo ambalo siku chache zilizopita lilikuwa haliwezekani naam Manji amenyang'anywa Coco Beach na kurudishwa kwa wakazi wa Dar Es Salaam haya yote ndani ya mwezi mmoja tu madarakani, kunzia mwezi ujao hakuna ada wala mchango wowote ule kwa mtoto wa Kitanzania anayesoma kwa kifupi kusiwe na kisingizio cha mtoto kutokwenda shule haya yoote ndani ya mwezi mmoja Tu madarakani sasa kama hii siyo change we all can believe in basi labda sielewi maana ya hiyo sentensi!
Magufuli wetu hakunaga!