Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

Kinacho fanya meli na ndege kupotea sehemu ya bermuda triangle ni mahusiano ya kijiografia na wala meli hizo na ndege hizo hizipotei kila zinapo pita sehemu hiyo hapana, isipokuwa hutokea kipindi fulani, Sehemu hiyo pana shimo kubwa sana kwenda chini ya ardhi kutoka usawa wa ardhi chini ya maji kwa jina la kitaalamu huitwa black hole, shimo hili lilitokea wakati wa kuubwa ardhi ilipopasuliwa kutok kutoka ktk tufe moja mono block rejea the (bingbang) mripuko ulio achanisha ardhi na wingu(earth & sky) na chini kabisa ya shimo hilo kuna volcano, wakati inapo chemka volcano chini hufanya maji ya sehemu ile yazunguuke kwa kasi ya ajabu na kutengeneza mawimbi makubwa yanayozunguuka kwa kasi ya ajabu na kutengenza shimo kubwa sana juu ya maji na sehemu ile hewa huzunguushwa kuanzia usawa wa bahari kupanda juu kwa kasi ya ajabu, twaweza kusema hutengenezwa mlima wa hewa izungayo juu(screed air) kwa kasi kubwa, ktk kipindi hicho kama kutakuwa na meli sehemu ile huzunguushwa na yale maji yazunguukayo kwa kasi na kuzamishwa shimoni , pia ndege hufanywa hivo hivo na hewa ya sehemu ile, na kwa mzunguuko huwo wa maji na hewa nguvu kubwa za uvutano ( magnetic force ) huzalika,
Hilo ndilo ZIMWI la bermuda triangle
Black hole u can't be serious brother/sister/mother/father may u plz go find more education on black holes.
How do you relate black holes na kuzama kwa meli kwenye zone ya Bermuda triangle




Guys msijibu things u have no understanding of

A black hole is a region of spacetime exhibiting such strong gravitational effects that nothing—not even particles and electromagnetic radiation such as light—can escape from inside it. Wikipedia
 
Bermuda Triangle, ni moja ya milango mingi kuelekea katika bara la Antartica ambako Aliens wanaishi. Hapo Bermuda triangle huwa panafungjliwa na demons au waweza waita Aliens, au Guardians. Sababu kubwa ya kufungua huo mlango, ni kuchukua watu kwa ajili ya utengenezaji wa hybrids kati ya wanaadamu na aliens. Dunia tunayoishi haijulikani ina umbo gani. Wapo watu wanaoamini kuwa dunia ni flat round disc. Na wengine wanaamini dunia ni duara, na wengine wanaamini dunia ni duara Lakini kuna tundu kubwa katika North pole linalotokezea katika South pole. Na nani ya tundu hilo, kuna jua na nchi kama ilivyo huku sehemu ya huu ya dunia tunayoishi. Huko katika hollow Earth, wanaishi demons ambao huitwa Guardians ndio wanaoendesha UFOs, na ndio wanaozamisha Meli na ndege.
Kwa hiyo ukishuka pale north pole unaingia nchi mpya ?
Au ndiyo wanaita kuzimu ?
 
Black hole u can't be serious brother/sister/mother/father may u plz go find more education on black holes.
How do you relate black holes na kuzama kwa meli kwenye zone ya Bermuda triangle




Guys msijibu things u have no understanding of

A black hole is a region of spacetime exhibiting such strong gravitational effects that nothing—not even particles and electromagnetic radiation such as light—can escape from inside it. Wikipedia
Tusaidie basi tuelewe kama alivyoandika kiswahili na maelezo kadhaa
 
Black hole u can't be serious brother/sister/mother/father may u plz go find more education on black holes.
How do you relate black holes na kuzama kwa meli kwenye zone ya Bermuda triangle




Guys msijibu things u have no understanding of

A black hole is a region of spacetime exhibiting such strong gravitational effects that nothing—not even particles and electromagnetic radiation such as light—can escape from inside it. Wikipedia

Maranyigi sana wajinga hukimbilia kukejeli kwa sabubu wataalamu husema elimu ndogo ni mzigo na hizo elimu za wikpedia zifanyie utafiti ili ufaidike sio kukurupuka hebu ingia google au utube tafuta balack hole underwater power of nature halafu uje tena na kicheko chako
 
Black hole u can't be serious brother/sister/mother/father may u plz go find more education on black holes.
How do you relate black holes na kuzama kwa meli kwenye zone ya Bermuda triangle




Guys msijibu things u have no understanding of

A black hole is a region of spacetime exhibiting such strong gravitational effects that nothing—not even particles and electromagnetic radiation such as light—can escape from inside it. Wikipedia

Wewe mwenye shule ya wikpedia ingia hapa uone black hole baharini nafikiri utakenua meno vzr
 

Attachments

  • black+hole+under+water.+Power+of+Nature_144p.mp4
    10.3 MB · Views: 45
Wewe mwenye shule ya wikpedia ingia hapa uone black hole baharini nafikiri utakenua meno vzr
Naonaga kama watu hua wanajibu kwa hisia sana kuliko kutumia akili na hekima, sasa sjui wao ndo wanataka wjulikane wamesoma sana au ndo wanajua sana kuliko wengine ..
 
Maranyigi sana wajinga hukimbilia kukejeli kwa sabubu wataalamu husema elimu ndogo ni mzigo na hizo elimu za wikpedia zifanyie utafiti ili ufaidike sio kukurupuka hebu ingia google au utube tafuta balack hole underwater power of nature halafu uje tena na kicheko chako
True fact
 
Naonaga kama watu hua wanajibu kwa hisia sana kuliko kutumia akili na hekima, sasa sjui wao ndo wanataka wjulikane wamesoma sana au ndo wanajua sana kuliko wengine ..
Maranyigi wasomi huwa wanatulia wanapokutana na critical issues, ila sisi wenye elimu ya kugoogle tukisha google tunakurupuka bila kufanya utafiti zaidi kwa kile tunacho google
 
Swali langu kuna ulazima gani wa meli ama ndege kupita hapo kama wanajua ni sehemu hatarishi ?

Ninavyo fahamu uongozaji wa vyombo vya baharini na angani huwa wakiongozwa na njia zilizoandaliwa na wataalamu huziita (course) hizi zimekwisha kuwa ploted ktk ramani kwa digree kadha na upande kadha kwa kwenda sehemu kadha, kwa msaada wa compass au GPS sas panapotokea halimbaya ya mchafuko wa hewa ndipo pilot au captain hutengeneza njia ya muda (temporary course)kuikimbia hali ile sasa hutegemea machafuko hayo yamemkuta eneo lipi wakati mwingine huwa ni hali ngumu sana kukigeuza chombo chako ktk temporary course kufuatana na ukizani wa hali ya hewa, ila hapo bermuda sio kila wakati ni hatari hapana hupitka tu tenashwari, wakati hali ya hewa ni shwari,
 
Kwa hiyo ukishuka pale north pole unaingia nchi mpya ?
Au ndiyo wanaita kuzimu ?
Unapoingia katika tundu la North pole, haina maana kuwa ni tundu kama la chupa ukiingia huwezi kutoka. Kufuatana na force of gravity, tundu ni pana sana, ambapo chombo kama vile engine boat kinaweza kuingia bila ya kuporomoka kwenda chini. Na vile vile chombo kinaweza kusafiri kutoka chini kurudi huu nje ya North pole bila kuona tofauti. Maji yako kawaida, tofauti ni kuwa nchi hiyo lko tofauti kabisa na sehemu tunayoishi kwa sababu unapoingia sehemu hiyo unakuwa umeingia katika dimension tofauti na tunayoishi. Sehemu hiyo sio kuzimu, Lakini wanaishi Demons au malaika waliofukuzwa Mbinguni au viumbe hybrid ya aliens na wanaadamu . Richard Byrd, askari rubani wa jeshi la Amerika aliingia katika North pole na alisafiri kwa masaa zaidi ya sita na kufika sehemu hiyo, Lakini alidhibitiwa na vifaa tofauti vilivyo vya duara (UFO). Alishikiliwa katika mji mkubwa wenye teknologia ya juu sana, na watu wa kule ni watu walikuwa na lafudhi ya kijerumani, na Celtic. Pia aliona alama za NAZI,(swastica). Baada ya muda aliongzwa kurudi alikotoka akiwa salama Lakini hakuweza kueleza zaidi habari za nchi ile.
 
Unapoingia katika tundu la North pole, haina maana kuwa ni tundu kama la chupa ukiingia huwezi kutoka. Kufuatana na force of gravity, tundu ni pana sana, ambapo chombo kama vile engine boat kinaweza kuingia bila ya kuporomoka kwenda chini. Na vile vile chombo kinaweza kusafiri kutoka chini kurudi huu nje ya North pole bila kuona tofauti. Maji yako kawaida, tofauti ni kuwa nchi hiyo lko tofauti kabisa na sehemu tunayoishi kwa sababu unapoingia sehemu hiyo unakuwa umeingia katika dimension tofauti na tunayoishi. Sehemu hiyo sio kuzimu, Lakini wanaishi Demons au malaika waliofukuzwa Mbinguni au viumbe hybrid ya aliens na wanaadamu . Richard Byrd, askari rubani wa jeshi la Amerika aliingia katika North pole na alisafiri kwa masaa zaidi ya sita na kufika sehemu hiyo, Lakini alidhibitiwa na vifaa tofauti vilivyo vya duara (UFO). Alishikiliwa katika mji mkubwa wenye teknologia ya juu sana, na watu wa kule ni watu walikuwa na lafudhi ya kijerumani, na Celtic. Pia aliona alama za NAZI,(swastica). Baada ya muda aliongzwa kurudi alikotoka akiwa salama Lakini hakuweza kueleza zaidi habari za nchi ile.
Kichwa changu Kigumu
Ila nitajitahidi kuelewa.
 
Unapoingia katika tundu la North pole, haina maana kuwa ni tundu kama la chupa ukiingia huwezi kutoka. Kufuatana na force of gravity, tundu ni pana sana, ambapo chombo kama vile engine boat kinaweza kuingia bila ya kuporomoka kwenda chini. Na vile vile chombo kinaweza kusafiri kutoka chini kurudi huu nje ya North pole bila kuona tofauti. Maji yako kawaida, tofauti ni kuwa nchi hiyo lko tofauti kabisa na sehemu tunayoishi kwa sababu unapoingia sehemu hiyo unakuwa umeingia katika dimension tofauti na tunayoishi. Sehemu hiyo sio kuzimu, Lakini wanaishi Demons au malaika waliofukuzwa Mbinguni au viumbe hybrid ya aliens na wanaadamu . Richard Byrd, askari rubani wa jeshi la Amerika aliingia katika North pole na alisafiri kwa masaa zaidi ya sita na kufika sehemu hiyo, Lakini alidhibitiwa na vifaa tofauti vilivyo vya duara (UFO). Alishikiliwa katika mji mkubwa wenye teknologia ya juu sana, na watu wa kule ni watu walikuwa na lafudhi ya kijerumani, na Celtic. Pia aliona alama za NAZI,(swastica). Baada ya muda aliongzwa kurudi alikotoka akiwa salama Lakini hakuweza kueleza zaidi habari za nchi ile.

Bila shaka kwa maelezo hayo Richard byrd alikuwa na celebre marelia,
Maswali mengi ya kuuliza swali kuu huko mbinguni walifukuzwa kwa kosa gani?
Tunavyo amini malaika wote ni watiifu
 
Bila shaka kwa maelezo hayo Richard byrd alikuwa na celebre marelia,
Maswali mengi ya kuuliza swali kuu huko mbinguni walifukuzwa kwa kosa gani?
Tunavyo amini malaika wote ni watiifu
Hilo lisikushangaze ndugu. Kumbuka ile vita iliyotokea Mbinguni hata kufikia Lucifer kufukuzwa mbinguni ,alitupwa duniani pamoja na theluthi ya malaika. Hao malaika waliofukuzwa ndio hao wanaishi chini ya dunia.
 
Hilo lisikushangaze ndugu. Kumbuka ile vita iliyotokea Mbinguni hata kufikia Lucifer kufukuzwa mbinguni ,alitupwa duniani pamoja na theluthi ya malaika. Hao malaika waliofukuzwa ndio hao wanaishi chini ya dunia.

Brother hizo ni paukwa pakawa hadithi za kufikirika mbiguni hakuwezi kutokea vita hata siku moja, futa kabisa akilini mwako, waligombea ni utawala, biashara, umiliki, utajiri au wanawake? kinachotia utata watowaji wa hekaya hizo wanadhania malaika wanaishi kama binaadam,
 
Back
Top Bottom