Hii ndiyo pembetatu ya Bermuda (Bermuda triangle)

sijaenda mkuu ila logically inaniingia akilini,si kila sehemu baharini inaweza kupitika hasa kulingana na nature ya mawimbi nk ila watu wanalazimika kupitia hapo kwa kuwa kijiografia tuusehemu ilipo hawana budi kupita,sehemu kukiwa na shimo kubwa kwenda chini iwe baharini au nchi kavu hyo sehemu lazima itakuwa na upepo mkali sna unaoingia humo kwa kuzunguka,au kama ni bahari itakuwa na mawimbi makali sana yanayozunguka kiasi kwamba ili nguvu ya pale inaweza kukivuta hata kitu ambacho kinapita around maeneo yale,kama ni mtu akitumbukia humo uwezekano wa kuona hata maiti yake ni mdogo,nakumbuka wakati wadogo mtoni tulikuwa tunaambiwa hapo kuna chunusi linabeba watu nk,si kweli ni nguvu ya uvutano iliyoko pale
Kabla sijamaliza kusoma

inabidi ukahakikishe mkuu
 
Kwa wale wanaopenda kujua matukio mbalimbali, basi watakuwa wanaifahamu vyema historia ya bermuda triangle.


Tangu mwaka 1945, zaidi ya meli 100 zimeshazama na vifo vya watu zaidi ya 1,000 vimeshatokea katika eneo hili ambalo ni maarufu sana kwa vyombo vya safari kupita. Pia ni eneo ambalo linasifika sana kwa kubadilika kwa hali ya hewa kwa haraka na bila kutarajiwa.


Matukio mengi yalitokea katika kipindi cha miaka ya 1940 - 1960, nayo yalihusu upoteaji wa kiajabu wa vyombo vya usafiri hasa ndege na meli.


Mwaka 1944, Dick Stern alikuwa anaruka na ndege ya kivita eneo hili, ghafla ilipoteza uelekea kwa muda na ikawa inaelekea kuanguka Bahari ya Atlantiki, lakin baadaye iliweza kutulia yeneyewe na kuendelea na safari vizuri. Na katika miaka ya 60 alipita tena eneo hilo akiwa na mkewe katika ndege ya kawaida wakapata msukosuko mkubwa.


Kwenye miaka ya 1945, 1958, 1964 na 1967 kuna ndege zilipotea tena katika eneo hilo ambapo mabaki yake hayakuweza kupatikana kabisa. Kuna baadhi ya marubani ambao waliwahi kuripoti kabla ya kupotea au kuokoka kwamba rada zao zilikupoteza uelekeo na kiasi kwamba wakashindwa kujua wako wapi, kuna mmoja aliripoti kuongezeka kwa kasi ya kwenda kwa ndege na kila kitu kikapoteza control, na baadaye vikarudi sawasawa.



Pia kuna rubani mmoja wa ndege ndogo alitaka kutua eneo hilo, lakini alipofika sehemu aliyotaka kutua, hakuiona ilhali watu waliokuwa chini walikuwa wanamuona na kumshangaa akizunguka tu hewani na kisha kuondoka. Baadaye alikiri kuzunguka juu baada ya kutokuona sehemu aliyotaka kutua wakati compass yake ilimuonyesha ameshafika.



Meli amabazo zimekumbwa na misuko sehemu hiyo zimekuwa zikiripotiwa kukutana na mvutano wa ajabu wa kwenda chini na mwishowe kuzama, au kukutana na machafuko ya bahari ya ghafla.


Kuna baadhi ya wafanyakazi wa meli walio okolewa waligeuka na kuwa vichaa!


Kituko cha funga dimba ni kile kilichoripotiwa mwaka 1967 kutoka kwa watu waliokuwa kwenye meli ya Elizabeth I pale waliposhuhudia ndege ndogo ikiwa mita chache kutoka walipo ikipotea ghafla ikiwa inaruka!!!!


Maajabu makubwa ambayo tutayaongelea, KWANZA ni kupotea kwa ndege nyingi ambazo zimepita katika anga la eneo hilo PILI ni kupotea kwa meli nyingi zinazopita katika eneo hilo. na kubwa zaidi ni kutopatikana kwa taarifa yoyote kuhusu mahali ambapo meli na ndege hizo huelekea baada ya kupotea. Swali kubwa linalozuka ni Je ninini chanzo kikubwa cha kupotea kwa vyombo hivyo? kwa miaka mingi iliyopita chanzo chake hakikujulikana, lakini katika uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na kituo kikubwa ulimwenguni cha uchunguzi wa anga NASA, inahisiwa kuwa eneo hilo limezungukwa na nguvu za usumaku zinazofanya kutokea kwa nguvu kubwa ya uvutano inayovuta kitu chochote kinachopatikana eneo hilo au katika anga la eneo hilo

Pia inahisiwa kuwa katika eneo hilo kuna kemikali ya METHANE iliyoyeyuka na kuchangamana na maji hayo jambo linalofanya maji ya eneo hilo kutokuwa na uwezo wa kuhimili uzito wa meli katika eneo hilo, swali ni je kuna uhusiano gani kati ya upotevu wa ndege na uwepo wa kemikali katika maji..

Jamani hili eneo hadi wameliita pembe tatu ya shetani au mlango wa kuzimu kuna nini hapa panapopelekea hadi meli na ndege kubwa kuzama na zaidi zikizama hazijulikani zinaenda wapi,? Mara hii sehemu tunaambiwa ALIENS wanakaa eneo hili kwaio sababu wao wana teknolojia isiyoweza kushindanishwa na za huku duniani wanasema inawezekana pia kitu chochote kinachopita eneo.hilo kinashindwa kuhimili hio nguvu ya teknolojia yao kwaio inapelekea wao kuzichukua kwa sababu zao au kuzitokomeza.

View attachment 657810

Inasemekani hii ni warmhole yani mlango wakutokea seheme nyingine lakini ni hapa hapa duniani.maana ndege na meli nyingi zilizo potea hapa zimekutwa katika jangwa la GOBI mpakani mwa china..kuna story moja inadai kuna .eli ili reapear yani ilitokea tena baada ya muda mrefu wa kupotea karibu na visiwa flani huko pacific na nahodha wake akashu nakuulizi hapo ni wapi na ni mwaka gani kuambiwa akashtuka na kurudi kwenyemeli lakini baada ya muda ikapotea tena..kuna story hapa chini inaelezea vitu vilivyo patikana jangwa la GOBI ambavyo vilipotea bermuda triangle..

Wreckage of Bermuda Triangle in Gobi Desert




A stunning clue in the mystery of the Bermuda Triangle has been found in a remote desert on the other side of the world.

In the middle of the harsh and uninhabited Gobi Desert, on the border between northern China and southern Mongolia, explorers stumbled upon the wreckage of ships and airplanes known to have disappeared in the Bermuda Triangle.

The discovery has given rise to a new theory about the Triangle and the thousands of vessels that have vanished there.

“It now seems that the Bermuda Triangle and the Gobi Desert are the two ends of a wormhole that runs through the Earth,” says physicist Roland Desmond, of Cambridge University in England.

“A wormhole is a fissure in the fabric of the space-time continuum. Ships and airplanes are swept into the Bermuda end of the wormhole and are transported to the Gobi Desert at the speed of light.

“They give the appearance of vanishing at one end and rematerializing at the other.”

One mystery remains — and it’s a big one. No human remains have been found among the wrecked ships and airplanes.

“Physics has no explanation for the disappearance of these tragic victims,” Desmond says. “Perhaps they are trapped in one of the many dimensions of space and time that make up the wormhole.”

Habari hii imetoka:

Wreckage of Bermuda Triangle in Gobi Desert | Weekly World News
 
Hapo ni mlango wa kuingia underworld maana inaaminika kua aliens ndio wanapita hapo ...kwenda ndani ya dunia ...ila ukifatilia sana haya mambo kuna usiri mkubwa sana ambao NASA na taasisi kubwa hua hawavitoi kwa public kwa sababu ya usalama
 
Hua naogopa kuchangia mada kama hizi sababu unakuta mleta mada conspiracy theorist anataka watu wachangie anachokiamini ila sio ukweli wa mambo. Hakuna cha uchawi wala devil blah blah pale. Meli zinapita hilo eneo daily na ndiyo sehemu inaongoza, kua na ajali chache mnashangaa, na ajali nyingi zimetungwa hazikutokea. Ni ka kariakoo watu kibao alafu watu waibiwe ukae kusema kuna mchawi kariakoo. Sehemu inayoongoza kwa population 0.1% kupatwa na kitu kibaya sio uchawi, its just statistics.
Hahhaha haya hamna ajali ..ni statistics.
 
Hapa Tanzania Hatuwezi Kujibu Vitu Kama Hivyo Tunajua Kugoogle Nakuweka Hapa Link
 
Ni kubwa lakini kama nlivokuambia labda wanapita pembeni kufika sehem nyingine zilizopo bermuda na visiwa vingine lakini sio ndani ya ile PEMBE TATU
Ila maajabu ya Bermuda wanasema si lazima ndani ya pembetatu hiyo, hata kwa nje kidogo yanaweza kutokea
 
Bermuda Triangle, ni moja ya milango mingi kuelekea katika bara la Antartica ambako Aliens wanaishi. Hapo Bermuda triangle huwa panafungjliwa na demons au waweza waita Aliens, au Guardians. Sababu kubwa ya kufungua huo mlango, ni kuchukua watu kwa ajili ya utengenezaji wa hybrids kati ya wanaadamu na aliens. Dunia tunayoishi haijulikani ina umbo gani. Wapo watu wanaoamini kuwa dunia ni flat round disc. Na wengine wanaamini dunia ni duara, na wengine wanaamini dunia ni duara Lakini kuna tundu kubwa katika North pole linalotokezea katika South pole. Na nani ya tundu hilo, kuna jua na nchi kama ilivyo huku sehemu ya huu ya dunia tunayoishi. Huko katika hollow Earth, wanaishi demons ambao huitwa Guardians ndio wanaoendesha UFOs, na ndio wanaozamisha Meli na ndege.
 
Kwa wale wanaopenda kujua matukio mbalimbali, basi watakuwa wanaifahamu vyema historia ya bermuda triangle.


Tangu mwaka 1945, zaidi ya meli 100 zimeshazama na vifo vya watu zaidi ya 1,000 vimeshatokea katika eneo hili ambalo ni maarufu sana kwa vyombo vya safari kupita. Pia ni eneo ambalo linasifika sana kwa kubadilika kwa hali ya hewa kwa haraka na bila kutarajiwa.


Matukio mengi yalitokea katika kipindi cha miaka ya 1940 - 1960, nayo yalihusu upoteaji wa kiajabu wa vyombo vya usafiri hasa ndege na meli.


Mwaka 1944, Dick Stern alikuwa anaruka na ndege ya kivita eneo hili, ghafla ilipoteza uelekea kwa muda na ikawa inaelekea kuanguka Bahari ya Atlantiki, lakin baadaye iliweza kutulia yeneyewe na kuendelea na safari vizuri. Na katika miaka ya 60 alipita tena eneo hilo akiwa na mkewe katika ndege ya kawaida wakapata msukosuko mkubwa.


Kwenye miaka ya 1945, 1958, 1964 na 1967 kuna ndege zilipotea tena katika eneo hilo ambapo mabaki yake hayakuweza kupatikana kabisa. Kuna baadhi ya marubani ambao waliwahi kuripoti kabla ya kupotea au kuokoka kwamba rada zao zilikupoteza uelekeo na kiasi kwamba wakashindwa kujua wako wapi, kuna mmoja aliripoti kuongezeka kwa kasi ya kwenda kwa ndege na kila kitu kikapoteza control, na baadaye vikarudi sawasawa.



Pia kuna rubani mmoja wa ndege ndogo alitaka kutua eneo hilo, lakini alipofika sehemu aliyotaka kutua, hakuiona ilhali watu waliokuwa chini walikuwa wanamuona na kumshangaa akizunguka tu hewani na kisha kuondoka. Baadaye alikiri kuzunguka juu baada ya kutokuona sehemu aliyotaka kutua wakati compass yake ilimuonyesha ameshafika.



Meli amabazo zimekumbwa na misuko sehemu hiyo zimekuwa zikiripotiwa kukutana na mvutano wa ajabu wa kwenda chini na mwishowe kuzama, au kukutana na machafuko ya bahari ya ghafla.


Kuna baadhi ya wafanyakazi wa meli walio okolewa waligeuka na kuwa vichaa!


Kituko cha funga dimba ni kile kilichoripotiwa mwaka 1967 kutoka kwa watu waliokuwa kwenye meli ya Elizabeth I pale waliposhuhudia ndege ndogo ikiwa mita chache kutoka walipo ikipotea ghafla ikiwa inaruka!!!!


Maajabu makubwa ambayo tutayaongelea, KWANZA ni kupotea kwa ndege nyingi ambazo zimepita katika anga la eneo hilo PILI ni kupotea kwa meli nyingi zinazopita katika eneo hilo. na kubwa zaidi ni kutopatikana kwa taarifa yoyote kuhusu mahali ambapo meli na ndege hizo huelekea baada ya kupotea. Swali kubwa linalozuka ni Je ninini chanzo kikubwa cha kupotea kwa vyombo hivyo? kwa miaka mingi iliyopita chanzo chake hakikujulikana, lakini katika uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na kituo kikubwa ulimwenguni cha uchunguzi wa anga NASA, inahisiwa kuwa eneo hilo limezungukwa na nguvu za usumaku zinazofanya kutokea kwa nguvu kubwa ya uvutano inayovuta kitu chochote kinachopatikana eneo hilo au katika anga la eneo hilo

Pia inahisiwa kuwa katika eneo hilo kuna kemikali ya METHANE iliyoyeyuka na kuchangamana na maji hayo jambo linalofanya maji ya eneo hilo kutokuwa na uwezo wa kuhimili uzito wa meli katika eneo hilo, swali ni je kuna uhusiano gani kati ya upotevu wa ndege na uwepo wa kemikali katika maji..

Jamani hili eneo hadi wameliita pembe tatu ya shetani au mlango wa kuzimu kuna nini hapa panapopelekea hadi meli na ndege kubwa kuzama na zaidi zikizama hazijulikani zinaenda wapi,? Mara hii sehemu tunaambiwa ALIENS wanakaa eneo hili kwaio sababu wao wana teknolojia isiyoweza kushindanishwa na za huku duniani wanasema inawezekana pia kitu chochote kinachopita eneo.hilo kinashindwa kuhimili hio nguvu ya teknolojia yao kwaio inapelekea wao kuzichukua kwa sababu zao au kuzitokomeza.

View attachment 657810
Kinacho fanya meli na ndege kupotea sehemu ya bermuda triangle ni mahusiano ya kijiografia na wala meli hizo na ndege hizo hizipotei kila zinapo pita sehemu hiyo hapana, isipokuwa hutokea kipindi fulani, Sehemu hiyo pana shimo kubwa sana kwenda chini ya ardhi kutoka usawa wa ardhi chini ya maji kwa jina la kitaalamu huitwa black hole, shimo hili lilitokea wakati wa kuubwa ardhi ilipopasuliwa kutok kutoka ktk tufe moja mono block rejea the (bingbang) mripuko ulio achanisha ardhi na wingu(earth & sky) na chini kabisa ya shimo hilo kuna volcano, wakati inapo chemka volcano chini hufanya maji ya sehemu ile yazunguuke kwa kasi ya ajabu na kutengeneza mawimbi makubwa yanayozunguuka kwa kasi ya ajabu na kutengenza shimo kubwa sana juu ya maji na sehemu ile hewa huzunguushwa kuanzia usawa wa bahari kupanda juu kwa kasi ya ajabu, twaweza kusema hutengenezwa mlima wa hewa izungayo juu(screed air) kwa kasi kubwa, ktk kipindi hicho kama kutakuwa na meli sehemu ile huzunguushwa na yale maji yazunguukayo kwa kasi na kuzamishwa shimoni , pia ndege hufanywa hivo hivo na hewa ya sehemu ile, na kwa mzunguuko huwo wa maji na hewa nguvu kubwa za uvutano ( magnetic force ) huzalika,
Hilo ndilo ZIMWI la bermuda triangle


Kwa wale wanaopenda kujua matukio mbalimbali, basi watakuwa wanaifahamu vyema historia ya bermuda triangle.


Tangu mwaka 1945, zaidi ya meli 100 zimeshazama na vifo vya watu zaidi ya 1,000 vimeshatokea katika eneo hili ambalo ni maarufu sana kwa vyombo vya safari kupita. Pia ni eneo ambalo linasifika sana kwa kubadilika kwa hali ya hewa kwa haraka na bila kutarajiwa.


Matukio mengi yalitokea katika kipindi cha miaka ya 1940 - 1960, nayo yalihusu upoteaji wa kiajabu wa vyombo vya usafiri hasa ndege na meli.


Mwaka 1944, Dick Stern alikuwa anaruka na ndege ya kivita eneo hili, ghafla ilipoteza uelekea kwa muda na ikawa inaelekea kuanguka Bahari ya Atlantiki, lakin baadaye iliweza kutulia yeneyewe na kuendelea na safari vizuri. Na katika miaka ya 60 alipita tena eneo hilo akiwa na mkewe katika ndege ya kawaida wakapata msukosuko mkubwa.


Kwenye miaka ya 1945, 1958, 1964 na 1967 kuna ndege zilipotea tena katika eneo hilo ambapo mabaki yake hayakuweza kupatikana kabisa. Kuna baadhi ya marubani ambao waliwahi kuripoti kabla ya kupotea au kuokoka kwamba rada zao zilikupoteza uelekeo na kiasi kwamba wakashindwa kujua wako wapi, kuna mmoja aliripoti kuongezeka kwa kasi ya kwenda kwa ndege na kila kitu kikapoteza control, na baadaye vikarudi sawasawa.



Pia kuna rubani mmoja wa ndege ndogo alitaka kutua eneo hilo, lakini alipofika sehemu aliyotaka kutua, hakuiona ilhali watu waliokuwa chini walikuwa wanamuona na kumshangaa akizunguka tu hewani na kisha kuondoka. Baadaye alikiri kuzunguka juu baada ya kutokuona sehemu aliyotaka kutua wakati compass yake ilimuonyesha ameshafika.



Meli amabazo zimekumbwa na misuko sehemu hiyo zimekuwa zikiripotiwa kukutana na mvutano wa ajabu wa kwenda chini na mwishowe kuzama, au kukutana na machafuko ya bahari ya ghafla.


Kuna baadhi ya wafanyakazi wa meli walio okolewa waligeuka na kuwa vichaa!


Kituko cha funga dimba ni kile kilichoripotiwa mwaka 1967 kutoka kwa watu waliokuwa kwenye meli ya Elizabeth I pale waliposhuhudia ndege ndogo ikiwa mita chache kutoka walipo ikipotea ghafla ikiwa inaruka!!!!


Maajabu makubwa ambayo tutayaongelea, KWANZA ni kupotea kwa ndege nyingi ambazo zimepita katika anga la eneo hilo PILI ni kupotea kwa meli nyingi zinazopita katika eneo hilo. na kubwa zaidi ni kutopatikana kwa taarifa yoyote kuhusu mahali ambapo meli na ndege hizo huelekea baada ya kupotea. Swali kubwa linalozuka ni Je ninini chanzo kikubwa cha kupotea kwa vyombo hivyo? kwa miaka mingi iliyopita chanzo chake hakikujulikana, lakini katika uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na kituo kikubwa ulimwenguni cha uchunguzi wa anga NASA, inahisiwa kuwa eneo hilo limezungukwa na nguvu za usumaku zinazofanya kutokea kwa nguvu kubwa ya uvutano inayovuta kitu chochote kinachopatikana eneo hilo au katika anga la eneo hilo

Pia inahisiwa kuwa katika eneo hilo kuna kemikali ya METHANE iliyoyeyuka na kuchangamana na maji hayo jambo linalofanya maji ya eneo hilo kutokuwa na uwezo wa kuhimili uzito wa meli katika eneo hilo, swali ni je kuna uhusiano gani kati ya upotevu wa ndege na uwepo wa kemikali katika maji..

Jamani hili eneo hadi wameliita pembe tatu ya shetani au mlango wa kuzimu kuna nini hapa panapopelekea hadi meli na ndege kubwa kuzama na zaidi zikizama hazijulikani zinaenda wapi,? Mara hii sehemu tunaambiwa ALIENS wanakaa eneo hili kwaio sababu wao wana teknolojia isiyoweza kushindanishwa na za huku duniani wanasema inawezekana pia kitu chochote kinachopita eneo.hilo kinashindwa kuhimili hio nguvu ya teknolojia yao kwaio inapelekea wao kuzichukua kwa sababu zao au kuzitokomeza.

View attachment 657810
 
Bermuda Triangle, ni moja ya milango mingi kuelekea katika bara la Antartica ambako Aliens wanaishi. Hapo Bermuda triangle huwa panafungjliwa na demons au waweza waita Aliens, au Guardians. Sababu kubwa ya kufungua huo mlango, ni kuchukua watu kwa ajili ya utengenezaji wa hybrids kati ya wanaadamu na aliens. Dunia tunayoishi haijulikani ina umbo gani. Wapo watu wanaoamini kuwa dunia ni flat round disc. Na wengine wanaamini dunia ni duara, na wengine wanaamini dunia ni duara Lakini kuna tundu kubwa katika North pole linalotokezea katika South pole. Na nani ya tundu hilo, kuna jua na nchi kama ilivyo huku sehemu ya huu ya dunia tunayoishi. Huko katika hollow Earth, wanaishi demons ambao huitwa Guardians ndio wanaoendesha UFOs, na ndio wanaozamisha Meli na ndege.
Duuuh !
 
Kinacho fanya meli na ndege kupotea sehemu ya bermuda triangle ni mahusiano ya kijiografia na wala meli hizo na ndege hizo hizipotei kila zinapo pita sehemu hiyo hapana, isipokuwa hutokea kipindi fulani, Sehemu hiyo pana shimo kubwa sana kwenda chini ya ardhi kutoka usawa wa ardhi chini ya maji kwa jina la kitaalamu huitwa black hole, shimo hili lilitokea wakati wa kuubwa ardhi ilipopasuliwa kutok kutoka ktk tufe moja mono block rejea the (bingbang) mripuko ulio achanisha ardhi na wingu(earth & sky) na chini kabisa ya shimo hilo kuna volcano, wakati inapo chemka volcano chini hufanya maji ya sehemu ile yazunguuke kwa kasi ya ajabu na kutengeneza mawimbi makubwa yanayozunguuka kwa kasi ya ajabu na kutengenza shimo kubwa sana juu ya maji na sehemu ile hewa huzunguushwa kuanzia usawa wa bahari kupanda juu kwa kasi ya ajabu, twaweza kusema hutengenezwa mlima wa hewa izungayo juu(screed air) kwa kasi kubwa, ktk kipindi hicho kama kutakuwa na meli sehemu ile huzunguushwa na yale maji yazunguukayo kwa kasi na kuzamishwa shimoni , pia ndege hufanywa hivo hivo na hewa ya sehemu ile, na kwa mzunguuko huwo wa maji na hewa nguvu kubwa za uvutano ( magnetic force ) huzalika,
Hilo ndilo ZIMWI la bermuda triangle
Dah nashukuru kwa ufafanuzi mkuu..sasa ina mana hilo shimo ni refu sana kwenda chini? Mana hakuna hata meli na ndege zilzomezwa hapo zimepatikana
 
Dah nashukuru kwa ufafanuzi mkuu..sasa ina mana hilo shimo ni refu sana kwenda chini? Mana hakuna hata meli na ndege zilzomezwa hapo zimepatikana

Ndio hilo shimo ni refu sana meli na ndege huingia kwa urahisi wakati huwo maji yanapo zuguushwa kwa mchemko wa volcano chini hutengenezeka shimo kubwa,
Hebu chukuwa ndoo jaza maji halafu chukuwa mti yazunguushe kwa kasi ktikati halfu tizama maji yale hutengeneza umbo gani ktikati

Yanapo tulia maji mle ndani ya shimo hilo huwa giza hakionekani kitu tena giza la nguvu ndio likaitwa the black hole
 
Ndio hilo shimo ni refu sana meli na ndege huingia kwa urahisi wakati huwo maji yanapo zuguushwa kwa mchemko wa volcano chini hutengenezeka shimo kubwa,
Hebu chukuwa ndoo jaza maji halafu chukuwa mti yazunguushe kwa kasi ktikati halfu tizama maji yale hutengeneza umbo gani ktikati

Yanapo tulia maji mle ndani ya shimo hilo huwa giza hakionekani kitu tena giza la nguvu ndio likaitwa the black hole
Kwaio ni wakati wote hio hali inakua hivo?
 
Back
Top Bottom