Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,799
- 46,514
Tunaweza kuwaomba hata Wa Israel
Naishauri serikali wakati Wamisri wanajenga bwawa hilo waitumie fursa hiyo kuzungumza nao watuletee ujuzi wa kilimo cha irrigation. Wamisri ni mabingwa wa irrigation duniani.