Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi

Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi

Rough player

Member
Joined
May 26, 2018
Posts
39
Reaction score
120
Salaam ndugu wa jf
Natumai wote ni wazima huku tukiendeleza gurudumu la maisha mbele
Bila kichelewa naomba niingie moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kiilezavyo

Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi,,tafiti za kisayansi hasa katika masuala ya rangi katika race mbali mbali ila leo nitazungumzia blackpeople..
Hivyo wanasayansi wanasema binadamu wa kwanza alipatikana Africa na hivyo alikua na ngozi ya rangi nyeusi so kwa hoja hiyo inadhihirisha ya kwamba watu weusi ndiyo asili ya binadamu wote duniani

Hivyo asili ya ngozi ya rangi nyeusi imetokana na kemikalo ziitwazo melanin,,endapo mtu anakua na kemikali hizo za melanin ndani ya ngozi yake basi atakua na ngozi nyeusi.Kemikali za melanin zimetokana na mfumo wa aina tatu nazo ni neumelanin na pheomelanin na neuromelanin

Ngozi nyeusi na nywele ni ndani ya mfumo wa eumelanin,,pia pheomelanin inasababisha mtu kuwa na nywele nyekundu na nywele za pink kwa mbali

Eumelanin pia inatusaidia kujilinda na madhara ya miale ya jua kwa hiyo kama nchi za Afrika tuishivyo karibu na ukanda wa mstari wa ikweta ambapo ni maeneo ya joto na jua kali kuwa na kemikali ya eumelanin ndani ya ngozi pia ukaadapt mazingira hayo basi ni jambo zuri kwa afya ya ngozi ya muhusika/wahusika

japo nimeeleza kwa kifupi ila nimeona tushare pamoja hiki hiki kidogo nilichonacho
Then kama kunamakosa then turekebishane kwasababu sisi sote tupo humu kujifunza
no one is perfect

Nawasilisha



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam ndugu wa jf
Natumai wote ni wazima huku tukiendeleza gurudumu la maisha mbele
Bila kichelewa naomba niingie moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kiilezavyo

Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi,,tafiti za kisayansi hasa katika masuala ya rangi katika race mbali mbali ila leo nitazungumzia blackpeople..
Hivyo wanasayansi wanasema binadamu wa kwanza alipatikana Africa na hivyo alikua na ngozi ya rangi nyeusi so kwa hoja hiyo inadhihirisha ya kwamba watu weusi ndiyo asili ya binadamu wote duniani

Hivyo asili ya ngozi ya rangi nyeusi imetokana na kemikalo ziitwazo melanin,,endapo mtu anakua na kemikali hizo za melanin ndani ya ngozi yake basi atakua na ngozi nyeusi.Kemikali za melanin zimetokana na mfumo wa aina tatu nazo ni neumelanin na pheomelanin na neuromelanin

Ngozi nyeusi na nywele ni ndani ya mfumo wa eumelanin,,pia pheomelanin inasababisha mtu kuwa na nywele nyekundu na nywele za pink kwa mbali

Eumelanin pia inatusaidia kujilinda na madhara ya miale ya jua kwa hiyo kama nchi za Afrika tuishivyo karibu na ukanda wa mstari wa ikweta ambapo ni maeneo ya joto na jua kali kuwa na kemikali ya eumelanin ndani ya ngozi pia ukaadapt mazingira hayo basi ni jambo zuri kwa afya ya ngozi ya muhusika/wahusika

japo nimeeleza kwa kifupi ila nimeona tushare pamoja hiki hiki kidogo nilichonacho
Then kama kunamakosa then turekebishane kwasababu sisi sote tupo humu kujifunza
no one is perfect

Nawasilisha



Sent using Jamii Forums mobile app
Pongezi mkuu, lakini mbona nchi nyingi za America kusini hasa Brazil zipo kwenye ukanda huu wa kiikweta bado watu wa huko ni weupe/red Indians, hata visiwa vingi mashariki ya mbali kama Java, Jakarta na Indonesia vipo kwenye ukanda wa Ikweta bado wenyeji wa huko ni weupe ingawa sio weupe pee kama wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pongezi mkuu, lakini mbona nchi nyingi za America kusini hasa Brazil zipo kwenye ukanda huu wa kiikweta bado watu wa huko ni weupe/red Indians, hata visiwa vingi mashariki ya mbali kama Java, Jakarta na Indonesia vipo kwenye ukanda wa Ikweta bado wenyeji wa huko ni weupe ingawa sio weupe pee kama wazungu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo inatokana na kemikali ziitwazo melanin kama nilivyoeleza hapo kwenye mada pekee wenye kemikali hizo basi watakua na ngozi nyeusi

pia kwa wale wasio kua na kemikali hizo kwenye ngozi zao pia huweza kuwa na rangi tofauti na nyeusi kwenye ngozi zao ukitoa sababu za kimazingira hasa watu waishio kwenye ukanda wa ikweta


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam ndugu wa jf
Natumai wote ni wazima huku tukiendeleza gurudumu la maisha mbele
Bila kichelewa naomba niingie moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kiilezavyo

Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi,,tafiti za kisayansi hasa katika masuala ya rangi katika race mbali mbali ila leo nitazungumzia blackpeople..
Hivyo wanasayansi wanasema binadamu wa kwanza alipatikana Africa na hivyo alikua na ngozi ya rangi nyeusi so kwa hoja hiyo inadhihirisha ya kwamba watu weusi ndiyo asili ya binadamu wote duniani

Hivyo asili ya ngozi ya rangi nyeusi imetokana na kemikalo ziitwazo melanin,,endapo mtu anakua na kemikali hizo za melanin ndani ya ngozi yake basi atakua na ngozi nyeusi.Kemikali za melanin zimetokana na mfumo wa aina tatu nazo ni neumelanin na pheomelanin na neuromelanin

Ngozi nyeusi na nywele ni ndani ya mfumo wa eumelanin,,pia pheomelanin inasababisha mtu kuwa na nywele nyekundu na nywele za pink kwa mbali

Eumelanin pia inatusaidia kujilinda na madhara ya miale ya jua kwa hiyo kama nchi za Afrika tuishivyo karibu na ukanda wa mstari wa ikweta ambapo ni maeneo ya joto na jua kali kuwa na kemikali ya eumelanin ndani ya ngozi pia ukaadapt mazingira hayo basi ni jambo zuri kwa afya ya ngozi ya muhusika/wahusika

japo nimeeleza kwa kifupi ila nimeona tushare pamoja hiki hiki kidogo nilichonacho
Then kama kunamakosa then turekebishane kwasababu sisi sote tupo humu kujifunza
no one is perfect

Nawasilisha



Sent using Jamii Forums mobile app


Kichwa cha habari ni tofauti na maelezo yako, ulitakiwa kama jinsi kichwa cha habari kilivyo, ueleze ASILI ya mtu mweusi, sio kueleza chanzo cha weusi wake,wengi wetu tunajua weusi wa rangi unatokana na MELANIN.

Eleza mtu mweusi au mweupe alikujaje hapa duniani, au mfano kuku alikujaje hapa duniani??
 
Kichwa cha habari ni tofauti na maelezo yako, ulitakiwa kama jinsi kichwa cha habari kilivyo, ueleze ASILI ya mtu mweusi, sio kueleza chanzo cha weusi wake,wengi wetu tunajua weusi wa rangi unatokana na MELANIN.

Eleza mtu mweusi au mweupe alikujaje hapa duniani, au mfano kuku alikujaje hapa duniani??

Mkuu si ndiyo maana nimesema kisayansi na sio kwa mlengo wa devine unaousemea


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona watu weupe walioishi huku ikweta na tropics kwa zaidi ya miaka 500 hawabadiliki na kuanza kuwa weusi?
 
Salaam ndugu wa jf
Natumai wote ni wazima huku tukiendeleza gurudumu la maisha mbele
Bila kichelewa naomba niingie moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kiilezavyo

Hii ndiyo asili ya mtu mweusi kisayansi,,tafiti za kisayansi hasa katika masuala ya rangi katika race mbali mbali ila leo nitazungumzia blackpeople..
Hivyo wanasayansi wanasema binadamu wa kwanza alipatikana Africa na hivyo alikua na ngozi ya rangi nyeusi so kwa hoja hiyo inadhihirisha ya kwamba watu weusi ndiyo asili ya binadamu wote duniani

Hivyo asili ya ngozi ya rangi nyeusi imetokana na kemikalo ziitwazo melanin,,endapo mtu anakua na kemikali hizo za melanin ndani ya ngozi yake basi atakua na ngozi nyeusi.Kemikali za melanin zimetokana na mfumo wa aina tatu nazo ni neumelanin na pheomelanin na neuromelanin

Ngozi nyeusi na nywele ni ndani ya mfumo wa eumelanin,,pia pheomelanin inasababisha mtu kuwa na nywele nyekundu na nywele za pink kwa mbali

Eumelanin pia inatusaidia kujilinda na madhara ya miale ya jua kwa hiyo kama nchi za Afrika tuishivyo karibu na ukanda wa mstari wa ikweta ambapo ni maeneo ya joto na jua kali kuwa na kemikali ya eumelanin ndani ya ngozi pia ukaadapt mazingira hayo basi ni jambo zuri kwa afya ya ngozi ya muhusika/wahusika

japo nimeeleza kwa kifupi ila nimeona tushare pamoja hiki hiki kidogo nilichonacho
Then kama kunamakosa then turekebishane kwasababu sisi sote tupo humu kujifunza
no one is perfect

Nawasilisha



Sent using Jamii Forums mobile app
umeelezea nini kinasababisha weusi wa ngozi na wala sio 'asili' ya mtu mweusi, ukitaka kuelezea 'asili' ya mtu mweusi inabidi utoe mchanganuo wa kisayansi kuhusu nini kilipelekea kuwepo wa 'races' mbalimbali kama Caucasians, Indians, Asians, Blacks n.k
kumbuka race ni zaidi ya rangi ya ngozi
 
Hiyo inatokana na kemikali ziitwazo melanin kama nilivyoeleza hapo kwenye mada pekee wenye kemikali hizo basi watakua na ngozi nyeusi

pia kwa wale wasio kua na kemikali hizo kwenye ngozi zao pia huweza kuwa na rangi tofauti na nyeusi kwenye ngozi zao ukitoa sababu za kimazingira hasa watu waishio kwenye ukanda wa ikweta


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe rudi tena darasan...who told you melanin ndiyo sabab ya ngoz kuwa nyeusi...melanin ni chemical inayo ratibu rangi ya ngozi,nywele na eye pupil(kiini cha jicho)..besically kila binaadam ana melanin ktk Genes zake ila inategemea hiyo melanin inasema uwe na ngozi rangi ipi, kiini cha jicho rangi ipi au nyele rangi ipi.....
 
Back
Top Bottom