Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Duh,kababy walker,mambo gani haya
Tairi zake nimezipenda
Duh,kababy walker,mambo gani haya
Tairi zake nimezipenda
Usije kushangaa mshindi wa Ligi kuu mwaka huu akakopwaHahahaha kichaa kaifanya nchi kuwa na mambo mengi sana ya kustaajabisha
Hahahaha hivi mdhamini wa ligi kuu amepatikana mkuu?Usije kushangaa mshindi wa Ligi kuu mwaka huu akakopwa
Bado hali ngumuHahahaha hivi mdhamini wa ligi kuu amepatikana mkuu?
Hatari sana mkuu
Kwani mlitaka la ajabu?Aisee mbona gari la kawaida sana hilo
Mbona sijakuona kikaoni Ursino Morocco? Anarudi NovemberMshana acha basi!!! Jana nimekaona wameshakaogesha na shampoo. Wakakapaka na mafuta.....coz sio kwa mng'ao ule!!!! Hahahaaaaa!!!!. By the way, unamfahamu Master Whei Li. Amekuja Bongo. Nadhani kuna mambo mazuri yako njiani, coz yule jamaa ni mpanda mbegu mzuri. Na ana watu wazito nyuma yake.
Economy class
Ova
Afanyie uber
Ova
Dah!! kumbe mkuu uko front line!. Mi nipo Musoma now, ila xmonks walinipenyezea picha kadhaa tu, hawakunipa news zozote. Mkuu nitupie news inbobo basi. Ila kila nikiangalia lile dude alilojenga pale S.A huwa sipati picha yule jamaa alikuwa na mission na akili gani. Halafu akamuachia Master Hsing Yun kwa roho safi tu.Mbona sijakuona kikaoni Ursino Morocco? Anarudi November
Unauamkuu ukisema toyota CAMI unaipa kiki toyota CAMI ni ile ndefu huwa ina vioo hadi sehemu ya buti
hii inaitwa toyota CAMI KID ni short chasis ya ile CAMI yakawaida 😂😂😂