Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,273
- 283,175
Wewe jamaa ni lazima utakuwa mchawi , nishakubaini .mwenge unachochea maendeleo hasa vijijini ni alama yetu lazima tuidumishe
Wewe jamaa ni lazima utakuwa mchawi , nishakubaini .mwenge unachochea maendeleo hasa vijijini ni alama yetu lazima tuidumishe
Hivi Magufuli haoni aibu kuzindua upya miradi ambayo PICHA ZA MAKTABA zinaonyesha kikwete akizindua na yeye akitumbua macho wakati akiwa waziri wa ujenzi ?Awamu ya TANO ya Serikali ya Kampeni miaka miwili kazi ni kurudia miradi iliyokwisha funguliwa na aliyemtangulia
Hivi Magufuli haoni aibu kuzindua upya miradi ambayo PICHA ZA MAKTABA zinaonyesha kikwete akizindua na yeye akitumbua macho wakati akiwa waziri wa ujenzi ?
Dah! Noma kweli !Hahhahahah aibu ya nini na yeye yuko kwenye Kampeni?
Dah! Noma kweli !
kama wanavunja sheria unataka wachekewe
hakuna sheria iliyovunjwa. ishu ni kwamba, Kiongozi wa mbio za Mwenge ana mamlaka ya kumwamuru DC? Kwa hiyo huyu kiongozi wa mbio za mwenge ana renki ya Mkuu wa Mkoa? au waziri? au waziri mkuu? au makamu wa Rais? au ana renki ya Rais ? au juu ya Rais? you see the point? mambo shaghalabaghala!!!kama wanavunja sheria unataka wachekewe
mbona waingereza wana kifimbo kinachokimbizwa karibia dunia nzimaWewe jamaa ni lazima utakuwa mchawi , nishakubaini .
Sasa umeambiwa huyo kiongozi wa kifimbo alishawahi kuamrisha watu wadakwe ?mbona waingereza wana kifimbo kinachokimbizwa karibia dunia nzima
Unajua kinacho onekana ni kwamba hakuna hata mmoja kati ya viongozi wa hii awamu walikuwa na hisia kama wangefika kwenye hizo nafasi hata siku moja. Kwahiyo hakuna mwenye kujua uongozi wa sheria ukoje.Hapa tulipofikishwa na Awamu hii ya Tano ni miezi michache baada ya kutangazwa Azimio la Arusha mwaka 1967. Tumekuwa nchi ya vituko na mambo ya hovyo hovyo tu.
Umeelewa thread inachozungumza au umekurupuka kuchangia!kama wanavunja sheria unataka wachekewe
Kwa mujibu wa akili yake usipohudhuria kwenye mwenge umevunja sheria,yaani ukiwa Ccm inabidi ujitoe akilShe
Sheria??? Sheria ipi inayomlazimisha diwani kuhudhuria MBIO ZA MWENGE?????
Mkuu unabishana na Robot!,kama Mtu anasoma thread lakin haelew,kip? atakielewahakuna sheria iliyovunjwa. ishu ni kwamba, Kiongozi wa mbio za Mwenge ana mamlaka ya kumwamuru DC? Kwa hiyo huyu kiongozi wa mbio za mwenge ana renki ya Mkuu wa Mkoa? au waziri? au waziri mkuu? au makamu wa Rais? au ana renki ya Rais ? au juu ya Rais? you see the point? mambo shaghalabaghala!!!
Maambukizi mapya ya ukimwi, mimba zisizotarajiwa, zinaa holela, unyanyasaji wa kijinsia, kusimamisha shughuli za kiuchumi, uvutaji bhangi, ulevi, kutumia vibaya rasilimali na fedha za Taifa nk.Fafanua mkuu, unachochea vipi maendeleo