Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,582
- 164,476
Binafsi nakubaliana na mkuu aliyeweka uzi kuwa mchawi ndiye aliyetuletea mwenge wa uhuru ili ibada za kichawi ziendelee.
mko vizuri tunawapongeza ila wajukuu zetu watatupa takataka na kuyalaani makaburi yenukama wanavunja sheria unataka wachekewe
mwenge unachochea maendeleo hasa vijijini ni alama yetu lazima tuidumisheHivi upuuzi huu wa mwenge, ni lini utaondoka machoni kwa watanzania. Tumechoshwa na vituko vyake vikiambatana na ufujaji wa pesa za wavuja jasho.
Fafanua mkuu, unachochea vipi maendeleomwenge unachochea maendeleo hasa vijijini ni alama yetu lazima tuidumishe
Fafanua mkuu, unachochea vipi maendeleo
Hayo ndio maajabu yenyewe.Hivi kiongozi wa hilo kopo linalowaka ana nguvu gani kikatiba ?
Hayo ndio maajabu yenyewe.Hivi kiongozi wa hilo kopo linalowaka ana nguvu gani kikatiba ?
Kumbe tukiusitiri Makumbusho kuna watu watalala njaa!Chakula cha watu hicho.Ukiangalia Mwaka jana Mwenge ulitumia bilioni 200 na ushee,wakati hatuna hospitali wala shule zenye maana achia mbali barabara
Kumbe tukiusitiri Makumbusho kuna watu watalala njaa!
Hatari sana
Sheria??? Sheria ipi inayomlazimisha diwani kuhudhuria MBIO ZA MWENGE?????kama wanavunja sheria unataka wachekewe