Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,050
- 748
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo, juzi mchungaji wetu alifanikiwa kwenda kutimiza sera na utaratibu wa chadema.
Hebu muangalieni alivyopendeza.....
Hii ndio sura yake orijino, nyingine feki tu
Hii ni hasara kubwa kwa watu wa Iringa kwani mbunge wao anatumia muda mwingi mahakamani na polisi kuliko kwenye shughuli za kimaendeleo
Jitambue!
Kama mjuavyo, juzi mchungaji wetu alifanikiwa kwenda kutimiza sera na utaratibu wa chadema.
Hebu muangalieni alivyopendeza.....
Hii ndio sura yake orijino, nyingine feki tu
Hii ni hasara kubwa kwa watu wa Iringa kwani mbunge wao anatumia muda mwingi mahakamani na polisi kuliko kwenye shughuli za kimaendeleo
Jitambue!