Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Ifahamu serikali isiyokubalika ipo tu Ikulu na bungeni kwasababu wananchi hawajachukua majengo yao, hawa hawawezi kusimama mbele ya umma hata mmoja tangu machafuko ya Oktoba 29 ambapo kumetoa mwelekeo wa msimamo wa wananchi jinsi watakavyofanywa watakapokuja mitaani.
Wananchi tumewakataa hakuna cha maridhiano wala bibi yake maridhiano, sisi tumewakataa tunataka nchi yetu. Hata watakapokusanya watu kwa matipa tutakinukisha.
Wananchi tumewakataa hakuna cha maridhiano wala bibi yake maridhiano, sisi tumewakataa tunataka nchi yetu. Hata watakapokusanya watu kwa matipa tutakinukisha.