Steven mushi mushi JF-Expert Member Jul 25, 2016 533 737 Aug 3, 2016 Thread starter #2 Tazama hiyo sehemu jamaa alipo yaani katumia tu fimbo kuzuia hilo jiwe na hapo ana imani kabisa na hiyo fimbo na anajiona yuko salama bila kujua ni hatari kwa maisha yake pindi hilo jiwe litakapodondoka
Tazama hiyo sehemu jamaa alipo yaani katumia tu fimbo kuzuia hilo jiwe na hapo ana imani kabisa na hiyo fimbo na anajiona yuko salama bila kujua ni hatari kwa maisha yake pindi hilo jiwe litakapodondoka
SupuyaPweza JF-Expert Member Oct 22, 2014 914 471 Aug 3, 2016 #3 Du! Hatari gani hio! Likimwangukia watasema bahati mbaya... ajali kazini lakini hii ni kusudi...
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 Aug 3, 2016 #4 Hatareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!