Hii ndio sababu ya wanaume kuishi maisha mafupi kuliko wanawake kutokana na kazi wanazofanya

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Jul 25, 2016
533
737
bc2ed89e5e554d91b6a256695149b410.jpg
 
Tazama hiyo sehemu jamaa alipo yaani katumia tu fimbo kuzuia hilo jiwe na hapo ana imani kabisa na hiyo fimbo na anajiona yuko salama bila kujua ni hatari kwa maisha yake pindi hilo jiwe litakapodondoka
 
Du! Hatari gani hio! Likimwangukia watasema bahati mbaya... ajali kazini lakini hii ni kusudi...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom