America na jeshi au kikundi kisicho na sare rasmi anapigwa Sana tu rejea Vita ya Vietnamu na Hawa Watu wamashariki ya Kati!! Sasa waje na jeshi la kueleweka tuone mkuu!!
Eti the powerfull army duniani,wanaenda pigana na wanamgambo wakimsaka kiumbe mmoja,maisha ya watu yanapotea na bado wanamkosa,wajipime sana kimahesabu