mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
mkuu sijui hivyo vi blog ulivyo google ndio vimekupa hizo takwimu. jaribu kutulia uusome vizuri uchumi wa zimbabwe kisha njoo tena u-comment. sio unaona thread hujui ata kinachozungumzwa unakimbilia ku google kwenye vi blogu unavyovyijua ww kisha unaanza kubishana.
naambatanisha link ya wikipedia hapa chini, hebu pitia uisome ndio uje kuandika tena.
Zimbabwean dollar - Wikipedia
Soma hapo same link ulontumia boss get