lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Kwa wale mliofika bagamoyo mtakua mnaifahamu club matata inaitwa lusona ndani ya milenium hotel.ni club ambayo imekua maarufu sana ambapo kila mwisho wa wiki utawakuta watu maarufu kibao kama wasanii wa music na movie.
Ndani yake kuna kila kitu kama vinywaji vya kila aina,vyakula,dance floor ya kisasa ni club iliyochimbwa ardhini wenyewe wanaita shimoni.kwa upande wangu naweza kusema ni club ya kisasa zaidi kuliko ata za bongo,kama umeshaingia ndani ya lusona club una maoni gani?
Ndani yake kuna kila kitu kama vinywaji vya kila aina,vyakula,dance floor ya kisasa ni club iliyochimbwa ardhini wenyewe wanaita shimoni.kwa upande wangu naweza kusema ni club ya kisasa zaidi kuliko ata za bongo,kama umeshaingia ndani ya lusona club una maoni gani?