Michael Amon JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 8,769 Reaction score 3,644 Mar 20, 2013 #1 Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.
Hii ndio Lamborghini ya kwanza kuingia hapa bongo. Gari hii inamilikiwa na alikuwa makamu wa zamani wa Yanga Davis Mosha. Gari ya hii ina thamani ya zaidi ya shilingi bilioni moja na aliinunua kwa Yusuph Bakhresa.
C.T.U JF-Expert Member Joined Jun 1, 2011 Posts 5,074 Reaction score 3,753 Mar 20, 2013 #2 hiii ungeweka chit chat watu wange kupm wakitaka namba ya david mosha
M Mr Rocky JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 15,178 Reaction score 14,383 Mar 20, 2013 #3 Mwache ale raha bana safi sana
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Mar 20, 2013 #4 Mr Rocky said: Mwache ale raha bana safi sana Click to expand... hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
Mr Rocky said: Mwache ale raha bana safi sana Click to expand... hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu.....
Kunta Kinte JF-Expert Member Joined May 18, 2009 Posts 3,690 Reaction score 1,293 Mar 20, 2013 #5 Mr Rocky said: Mwache ale raha bana safi sana Click to expand... kabla ya 2015
NIGGA JF-Expert Member Joined Jan 23, 2013 Posts 1,239 Reaction score 640 Mar 20, 2013 #6 LHD nani anataka kujipa shida kisa lamboghin
omujubi JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 4,444 Reaction score 2,700 Mar 20, 2013 #7 Preta said: hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu..... Click to expand... ..na kuliendeshea kwenye barabara gani siju!!!
Preta said: hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu..... Click to expand... ..na kuliendeshea kwenye barabara gani siju!!!
LexAid JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,931 Reaction score 774 Mar 20, 2013 #8 NIGGA said: LHD nani anataka kujipa shida kisa lamboghin Click to expand... Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani.
NIGGA said: LHD nani anataka kujipa shida kisa lamboghin Click to expand... Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani.
M Mr Rocky JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 15,178 Reaction score 14,383 Mar 20, 2013 #9 Preta sijui kama kuna la ziada zaidi ya kuwa una gari ya kifahari barabara za bongo matope na mashimo kama mahandaki Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Preta sijui kama kuna la ziada zaidi ya kuwa una gari ya kifahari barabara za bongo matope na mashimo kama mahandaki
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Mar 20, 2013 #10 NIGGA said: LHD nani anataka kujipa shida kisa lamboghin Click to expand... Ukitaka ku-overtake mpaka umuulize abiria, inahusuuu. Ndiyo maana mjanja akamuuzia msala.
NIGGA said: LHD nani anataka kujipa shida kisa lamboghin Click to expand... Ukitaka ku-overtake mpaka umuulize abiria, inahusuuu. Ndiyo maana mjanja akamuuzia msala.
NIGGA JF-Expert Member Joined Jan 23, 2013 Posts 1,239 Reaction score 640 Mar 20, 2013 #11 LexAid said: Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani. Click to expand... Umeona eeh wabongo kwa mbwembwe unakuta mtu anachukua SUV za kimarekani,barabarani unaangaika left hand ptuuu,chukua vogue tulia
LexAid said: Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani. Click to expand... Umeona eeh wabongo kwa mbwembwe unakuta mtu anachukua SUV za kimarekani,barabarani unaangaika left hand ptuuu,chukua vogue tulia
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Mar 20, 2013 #12 Preta said: hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu..... Click to expand... ni kama unavyomiliki simu, mi nokia ya toch we cjui Lumia etc.
Preta said: hivi kana nini na nini vyenye burudani.....I mean ukiendesha unapata nini zaidi ya mimi ninayeendesha vitz....kwa mfano tu..... Click to expand... ni kama unavyomiliki simu, mi nokia ya toch we cjui Lumia etc.
NIGGA JF-Expert Member Joined Jan 23, 2013 Posts 1,239 Reaction score 640 Mar 20, 2013 #13 grafani11 said: Ukitaka ku-overtake mpaka umuulize abiria, inahusuuu. Ndiyo maana mjanja akamuuzia msala. Click to expand... Wenzetu kule wese bei poa,hamna mashimo,sasa huku kwetu hata chalinze huendi nacho icho kidude
grafani11 said: Ukitaka ku-overtake mpaka umuulize abiria, inahusuuu. Ndiyo maana mjanja akamuuzia msala. Click to expand... Wenzetu kule wese bei poa,hamna mashimo,sasa huku kwetu hata chalinze huendi nacho icho kidude
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Mar 20, 2013 #14 Kumbe ndiyo maana pamoja na ukongwe wao wa zaidi ya miaka 70 bado SIMBA & YANGA hazina hata uwanja wa kupigia "ONE TOCH"? Big up Mheshimiwa Rage a.k.a Mzee wa mguu wa kuku usioondoke mpaka malengo yatimie.
Kumbe ndiyo maana pamoja na ukongwe wao wa zaidi ya miaka 70 bado SIMBA & YANGA hazina hata uwanja wa kupigia "ONE TOCH"? Big up Mheshimiwa Rage a.k.a Mzee wa mguu wa kuku usioondoke mpaka malengo yatimie.
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,852 Mar 20, 2013 #15 omujubi said: ..na kuliendeshea kwenye barabara gani siju!!! Click to expand... morogoro road.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 72,994 Reaction score 102,833 Mar 20, 2013 #16 duh bora uwe na VX V8 5 kuliko hiyo moja tena kadogo kwa bei ya VX 5
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,905 Reaction score 9,335 Mar 20, 2013 #17 Mbona sawa na huu mtumba wangu tu!!
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Mar 20, 2013 #18 LexAid said: Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani. Click to expand... Kwani dada zetu wanajua huo ni mtumba? Wacha ajitumbulie wakijua ni mtumba wote wana mimba za miezi minne minne. Teheteheteheteheeee
LexAid said: Mtumba huu. Wenye zao wanaweka Order kiwandani. Click to expand... Kwani dada zetu wanajua huo ni mtumba? Wacha ajitumbulie wakijua ni mtumba wote wana mimba za miezi minne minne. Teheteheteheteheeee
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,548 Mar 20, 2013 #19 C.T.U said: hiii ungeweka chit chat watu wange kupm wakitaka namba ya david mosha Click to expand... Umepotea sana jembe, upo!?
C.T.U said: hiii ungeweka chit chat watu wange kupm wakitaka namba ya david mosha Click to expand... Umepotea sana jembe, upo!?
grafani11 JF-Expert Member Joined May 24, 2011 Posts 15,441 Reaction score 5,820 Mar 20, 2013 #20 KakaKiiza said: View attachment 87615View attachment 87615View attachment 87615 Mbona sawa na huu mtumba wangu tu!! Click to expand... Mia miaaaaa mkuu. Kitu kimetulia na kinavutia kuliko hilo Lamborghin la jamaa.
KakaKiiza said: View attachment 87615View attachment 87615View attachment 87615 Mbona sawa na huu mtumba wangu tu!! Click to expand... Mia miaaaaa mkuu. Kitu kimetulia na kinavutia kuliko hilo Lamborghin la jamaa.