William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
unakiu ya kupata kiongozi bora kutoka CCM na ufisadi na groap lao limekuzidi nguvu . Karata ya mwisho ni hii.
CCM iandae midahalo ya wazi kwa wagombea wake wa uraisi na iwe live kwenye tv. Hapo watanzania watachambua mbivu na mbichi na CCM itapata ngombea mwenye nguvu
CCM iandae midahalo ya wazi kwa wagombea wake wa uraisi na iwe live kwenye tv. Hapo watanzania watachambua mbivu na mbichi na CCM itapata ngombea mwenye nguvu