Hii ndio Kanda ya Kaskazini

Tunachofanya sasa ni kutapakaa Tanzania yote huku vijana tukipambana mashuleni, vyuoni. Tutasomana tu

Mimi kiasili ni mtu wa Tabora. Naelewa ninachokiandika. Kanda ya kaskazini wanazombinu nyingi za kuendelea kuwa juu kwa karne nyingi zaidi. Wakati nyie mnawaza hayo wenzenu wameshatapakaa nchi za nje miaka mingi iliyopita. Sasa ikiwa nyie bado mnawaza kujenga vyoo vya nyumba, sijui kula mboga za kondeni wenzenu walitoka huko miaka ya 60.

Naongea haya ili niwatie hasira mutafute maendeleo ili taifa letu liendelee. Kwa kifupi huko bado sana
 
Me kukubali juu kusini coz kule kun wanaume imara na weny akili kulipga jesh la kijerman leny watu 300 kwa mkuki mkwawa noma sana


Kwa hilo kweli tuwape hongera sana. Lakini dunia hairudi nyuma Mkuu. Dunia inaenda mbele. Nyie mnajivunia watu waliokufa poleni sana. wenzako wanajivunia vilivyohai
 
Kanda hii hakuna kitu kinachukiwa kama chama cha mapinduzi yanii kuna watu huku wanaamini kabisa CCM ni alama ya umasikini na ujinga Sijui kwanini!??Yani ukiwa ccm wanakuona Wewe ni Madifi ( muulize mchaga madifi ni nini)
We usitamke tena hilo jina, maana yake ni mbolea.
 
Kaandike kitabu, Kuna kanda zikiamua kufungulia mapori na hifadhi zao wakazifanya zichimbwe na madini na kukata mbao hiyo kasakazini itasubiri sana
 
Umeeleweka mkuu afu msomi anakuwa mtumwa wa mwanasiasi kama hajitambui yaani mlinda tumbo yule anayeona thamani ya elimu yake huwez muendesha kihivyo utaachwa mwanasiasa unapiga kelele we na serikali miaka kumi ikiisha unaenda kwako msomi anabaki kwenye nafasi yake
 
Mikoa mitatu kivipi?
Arusha(na Manyara) kivipi?

Arusha na Manyara ni mikoa inayojitegemea mkuu, wacha kutuonea Wa-Iraqw
kimsingi Manyara bado haieleweki ndio maana kaiunga Arusha
 
Ukisikia madini; yaani almasi, dhahabu umeongelea lake zone. Thamani ya hivi vitu kama vingetumika kikamilifu hiyo kanda ya ziwa na Tanzania kiujumla tungekua mbali zaidi ya unavyo weza fikiria. Hapo nimeongelea madini tu tafadhali.
Madini yenyewe mmempa akasia yanawasaidia nini?.
 
Si kweli wanaume wa kanda maalumu ndo hushobokea wanawake wa kule had kero kuu. Mi shakutana na wengi na vile hamko romantic basi ni kero tupu
Hongera kwa kuwapa haki yao waliyohitaji na wewe ukafurahia ndo maana ushakutana nao hao wengi
 
Pamoja na kuwa anaweza muua mume wake lakin wakati anatafuta na yy hakulala pia jua alipambana,nikwambie tu mwanamke ambaye anakaa nyuma ya meza tu hatathubutu kuua mume wake maana kuzisimamia mali sio mchezo lazima ulikuwa na akili yakutafuta pia huwez endeleza kitu ambacho hujui mwanzo wa misingi yake
 
Mkuu wewe ndo umetaja wasukuma na wavivu, bila kujali kabila yoyote akiwa mvivu hajitumi na akili mgando hawezi kufanikiwa, maana maendeleo ni udhubutu.

Mkuu swala lakuwa na dhahabu nakubaliana nalo na ingetakiwa kanda ya ziwa ipige maendeleo makubwa kwa sababu ya hayo madini, but unfortunately hali huko ndo mbaya kuliko inavotakiwa, rasilimali za madini hazijaweza kuisadia Africa, hususani Tanzania kujikwamua maana inaendeshwa na mabepari ka Acacia kwa hyo return kwa community ni mdogo, hayo madini hayawwzi kuondoa umaskini kusikochukuliwa hatua madhubuti maana madini hayagusi wananchi moja kwa moja ka shughuli nyingine za uchumi.

Hyo ya wachaga kukimbia kwao ni akili ya kwenda kutafta fursa sehemu nyingine ili kujipanua hata mataifa makubwa yanaleta makampuni yao kuwataftia wananchi wao fursa kuondoa u maskini, ndo mana nchi hii miradi mingi inafanywa na wageni hyo yote ni fursa hata wewe usikae sehemu moja eti kisa kwenu usiangalie fursa nyingine huo ni uzembe, watu wana search green pasture.

Mkuu shule za kata zimekataje mzizi wa fitina wakati ndo zimesaidia kuondoa ujinga kwa Watanzania wengi. Kumrudisha nyuma aliyetangulia sio solution dawa ni wewe kujikwamua ili upige hatua, mi tangia nimeanza shule darasni waliokuwa wengi walikuwa wachaga, wahaya wanyakyusa sana sana mkuu kwa wingi.
Miaka kumi waweza kutawala lakini itategemea umeijengea vipi jamii yako kuhusu kuwa na mwamko wa elimu na Ku grab different opportunities.
 
Kweli wanapenda kushoboka sana hafu wanakosa sauti sema wanawake wakule wana akili wanawafundisha maisha na kutoa ushamba, ujue ili mwanaume asimame anahtaji mwanamke anayejielewa. Sasa wao ndo wanaoa hao kwa wingi Dada zao nani atawaoa.
Kanda maalumu miaka niliyokuwa Mimi wanawake walikuwa wachache sana kuliko wanaume ndo maana wengi wanaolewa haraka, sasa kanda ya mikoa ya Manyara, Arusha, Kil, na Tanga kuna uhaba wa wanaume na nguvu za kiume ndo maana wale wa kanda maalumu wanapendwa sana
Chezea kijana ameanza kunywa michuzi ya samaki tangu mdogo, kula kichuri na vimolo utaachwaje hujaridhika?
 
Ukisikia madini; yaani almasi, dhahabu umeongelea lake zone. Thamani ya hivi vitu kama vingetumika kikamilifu hiyo kanda ya ziwa na Tanzania kiujumla tungekua mbali zaidi ya unavyo weza fikiria. Hapo nimeongelea madini tu tafadhali.
Ni kweli hzo rasilimali zingetunika effectively nchi yetu isingekuwa maskini tatizo hyo buashara inaendeshwa na mabepari, ndo maana Raisi alikuja na mpango wakupitia upya mikataba ya madini
 
Hongera kwa kuwapa haki yao waliyohitaji na wewe ukafurahia ndo maana ushakutana nao hao wengi
Ni kweli shakutana nao wengi ni mabest na Mimi huwapa changamoto za hapa na pale mkuu. Maana wananipenda mwenyewe tu automatically
 
Si kweli mkuu shobo zao tu ujue yakuwapenda, maana kanda maalumu wanakutana na wakorofi wenzao wanatulizwa kwa mpira hawafuruki ng'o hyo nyingine ya vichuri ni case kubwa sana loh
 
Kuhusu wanawake kuwa wengi ni kweli na nafikiri ni sehemu zote ila kwingine umedanganya mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…