luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,709
- 8,918
Mkuu hii michunga ngombe n mishambAa ka ngombeMkuu,
Kariakoo kipindi cha nyuma ilishikwa na wahindi, maduka mengi ya spea, vifaa vya ujenzi, nguo nk
Sasahivi kariakoo kwa asilimia kubwa imeshikwa na Wakinga.
Haimaanishi kwamba wahindi wamefilisika la hasha! wengi wao wameshavuka hiyo stage na kwasasa wanamiliki makampuni makubwa ya kusafirisha mizigo na viwanda(producers) na wenye maduka ni wateja wao.
Nina imani umenielewa.
Wivu tu huna lolote kunguni ww ukisikia mchaga unakufa ganzi nn?Hao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Haijalishi,naona haters bado mpoKutoka kushoto ni Bosco Beda Kyara na Gabriel Jerome Mombuli,wanashikiwa kwa makosa mawili,unyang'anyi wa kutumia silaha na kupatikana na mali inayoamini kuwa ni ya wizi.
Hilo shangingi ni Nissan Patrol V8,Mali ya Kampuni ya Nisk Capital Ltd ya Kenya(siyo la Ikulu ya Kernya kama ilivyoripotiwa),liliibwa Agosti 19 mwaka huu Nairobi Kenya,hawa jamaa ndo wazee wa kupokea na kuuza.
Kanda ya kaskazini mambo ni Motooooooooooooooo
Acha siasa,ukabila ni 100%Raha ya hii nchi kwa sahivi ukabila na ukanda hauna nafasi kubwa sana, Tumeishi kwa kupendana na kuoleana. Na uskakazini wangu nimeoa usukumani, sengerema na Dada zetu wengi tu wameolewa sehemu karibu zote Tanzania hii. Ubaguzi usiyo na maana tusiupe nafasi kubwa sana.
JidanganyeBattle za hivi huwa ziko mtandaoni tu...! Laki uraiana dada zenu tunawamegea tu sisi watu wa Kanda ya ziwa....!
JiweHivyo kanda hii iliwahi kutoa rais?
Chato High SchoolKweli kabisa, hata mimi nina asili ya kanda ya ziwa. Hakuna ubaguzi hapo Mkuu. ni sawa na mtu kusema shule ya sekondari niliyosomea ni nzuri kuliko zote Tanzania
Mnafiki huyoHongera Mkuu Kilwa, usichukulie sana serious sometimes hizi tambo tu..
Kwetu Pazuriiii...!!
Endelea kukaa ndani ya pipa hapo Chato,hata wa Msoga alishindwaHao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Sio Kariakoo tuu,aende Miji yote kuanzia MoshiMkuu,
Kariakoo kipindi cha nyuma ilishikwa na wahindi, maduka mengi ya spea, vifaa vya ujenzi, nguo nk
Sasahivi kariakoo kwa asilimia kubwa imeshikwa na Wakinga.
Haimaanishi kwamba wahindi wamefilisika la hasha! wengi wao wameshavuka hiyo stage na kwasasa wanamiliki makampuni makubwa ya kusafirisha mizigo na viwanda(producers) na wenye maduka ni wateja wao.
Nina imani umenielewa.
Hao watakufa na kiriba cha Moyo,ni kawaida kwa masikini au Mbumbumbu kumchukia Tajiri au alieelimikaWrite your reply...north zone ni nomA
Frank Wanjiru
britanicca
last king of uscoch
Upepo wa Pesa
Sky Eclat
AbaMukulu
Yupo radhi Mwanaume wa Kihaya amuweke lakini si MangiWivu tu huna lolote kunguni ww ukisikia mchaga unakufa ganzi nn?
Hahaha! mkuu unaua sasaMkuu hii michunga ngombe n mishambAa ka ngombe
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]uko vizuriMimi hata sio wa huko ila haimaanishi siwezi kusema kitu from different angles kulingana na experience I'm from Singida.
Hyo ya kuwapoteza wanaume sidhani ka ina ukweli maana sijawahi kuona case ka hyo,hafu nyie wanaume ndo hujipoteza kwa Mipango kando haiwezekani Mali tuchume wote tukipata wewe ufikirie ubinafsi wako bila kujali watoto hafu uachwe, nadhani wanaowatanguliza wenzi wao hu angalia future ya Mali na watoto, wakati nyie wanaume hujiwazia ubinafsi tu.
Yeah nchi yetu ni moja na kila kanda ina muhimu wake kwa nchi yetu u tofauti,tofauti ndo hufanya nchi yetu iwe moja, kila kanda ina bora wake na udhaifu wake.
Ndugu umepovuka lakini yafaa utambue kuwa mtu mwenye kuwaza mbali hakumbatii kukaa sehemu moja akiamini atatosheka pale bali hujitanua kwa kwenda huku na kule kutafuta zaidi na kujiwekeza zaidi.Hao ni wakimbizi wa ndani ya nchi, yani kwenu kuzuri alafu uende ishi mapori ya pwani kama si ujuha ni nini? Hakuna fursa zozote huko ndio maana hawakai.Shinyanga mjini walijaa sana miaka 90 sasa hivi kila duka ni la muha na msukuma hawana tena pa kuwaibia watu, wasukuma walishawashtukia hao majizi!!!!
Weee tema mate chini muogope mungu.kuna mzizi mmoja unaitwa mkongolo kama sikosei ni maarufu sana kaskazini na shughuli yake wakaskazini wenyewe wanaijua.Umesahau moja tu ni Mabingwa wa VIBAMIA
Hivi manyara monduli si kumejaa wachunga ng'ombe?Hahaha! mkuu unaua sasa