Hii ndio Kaizirege

Sep 27, 2015
83
15
1455939844018.jpg
1455939881084.jpg
1455939896774.jpg
1455939913514.jpg
1455939943824.jpg
1455939959274.jpg
 
mkuu picha tu hazisaidii embu tupe kile kilichopo hapo,maisha yao ,walimu wao,aina ya usomaji,vyakula vyao nk
 
Hizo picha za mwanzo ni Feza Boys ya pale Tegeta na siyo Kaizarage, naona kuna wimbi la watu wa huyu jamaa wanaotaka kupotosha umma kwa kulaghai wananchi na matumizi ya picha za Feza. "Research before you post".
unatumia nguvu nyingi kuliko akiri iyo shule ndivyo ilivyo na ni zaidi ya hicho unacho kiona, mleta uizi hajaweka kila kitu ni shule ya kipekee. Siku nyingine ukija kupinga kitu wasiliana na ubongo wako
 
Hata ningekuwa nasoma hapo ningeondoka na three siyo mbayaa na mwaka huu watapata wanafunzi wa kutosha mwakani tokeo likitoka utashangaa wanaondoka na ziro wote
 
Ila hata kama wataambiwa wananunua mitihani itakuwa haisaidii kwanza
Angalia mazingira ya hapo
Mandhari
VifaA vya ufandishaji na ujifunzaji
Wana haki ya kuwa na kupata matokeo mazur
 
Mwenye data atuwekee hapa kuhusu Karo zao kwa mwaka kwa boarding
1. Nursery
2. Primary
3. Secondary O level
4. A level (kama ipo)
 
Huyu mmiliki hana 'Kontena' kweli? Isijekuwa kaweka bomba NECTA ambapo mitihani inawamwagikia wanafunzi wa shule yake tu na kuzidhoofisha kwa utapiamlo za serikali!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom