Hii ndio Kaizirege

Hii ndio Kaizirege

Ukiangalia hizi picha kama unayafahamu mazingira ya special schools zetu (Mzumbe, Ilboru, Kibaha, Msalato, Kilakala, Tabora boys etc) utakubali ni halali wanafunzi wa hapa kufaulu kwa kiwango hiki.
ila ilboru wapo vizuri sana siku hizi mkuu, majengo yao kuanzia majiko, mabweni, madarasa na maabara yameboreshwa sana
 
unatumia nguvu nyingi kuliko akiri iyo shule ndivyo ilivyo na ni zaidi ya hicho unacho kiona, mleta uizi hajaweka kila kitu ni shule ya kipekee. Siku nyingine ukija kupinga kitu wasiliana na ubongo wako
Naamini kwa bio yako wewe ni JF Expert na ni hali hivyo una maarifa kuliko mimi, basi kwahilo naomba utafute tovuti ya Kaizirege na Feza nawe utapata majibu. Sincerely mwana Feza wa zamani
 
Some pictures ni kasa, siyo kaizirege....rejea video ya muungwana mmoja hapo juu..
 
minimum requirement kwa mwanafunzi 'kipaji' kufaulu ni kuwa na mwalimu hata mwenye uwezo wa kawaida tu ila ambaye anamfuatilia huyo mwanafunzi
 
naskia mwalimu KAIZEREGE Anapokea milioni 3 net na usafiri anafuatwa na dereva nyumbani(nawaza tu)
 
Mazingira kama haya mtoto akapata Division II, huyu shule ya kata anapiga zero ya kufa mtu
 
wakati Tambaza, mwalimu ni referee wa CAF kukiwa ma mechi za kagame. week nzima hamsomi.
 
Huyu mmiliki hana 'Kontena' kweli? Isijekuwa kaweka bomba NECTA ambapo mitihani inawamwagikia wanafunzi wa shule yake tu na kuzidhoofisha kwa utapiamlo za serikali!
Fananisha hicho ulichokiandika na matokeo yao kwa ujumla...
 
Back
Top Bottom