Hii ndio Kaizirege

Hii ndio Kaizirege

Ada kiasi gani? Mwanangu hawezi soma shule za kata,ntatuza kidogo changu,shule za kata wasome watoto wa waloipigia kura ccm
 
Mkuu hii shule ni bora kweli kwanza jamaa alijipanga kuanzia nursary iko mkoani kagera bukoba mjini kata kibeta kiukweli huyu jamaa Mwenye nayo anampuga sana c utani namjua yuko vzr
 
Fananisha hicho ulichokiandika na matokeo yao kwa ujumla...

Siyo lazima niongee kwa namna utakayoelewa mapema ama kwa namna ya kukufurahisha tu...beside ni busara kurudia kutafakari jambo hata kwa muda mrefu kabla hutarukia conclusion!
 
Alafu serikali ilikuwa inataka kuwapangia watu ada za kulipa... Thubutuuuu, pangeni za huko huko kwenye vumbi..

Safi sana wahaya... Huu uwekezaji mzuri na atleast sasa mtarudisha watoto Bukoba kusoma na kujifunza tamaduni zao, sasa msiwe na sifa za kuwapandisha ndege kurudi mikoani mnakoishi mpaka zile likizo ndogo. Muwe mnawaacha wanaenda kwa bibi zao pia wakale senene huko..
 
Back
Top Bottom