Wanachokifanya hawa wawili ni sarakasi na siyo sehemu ya zoezi la kijeshi au adhabu ya kijeshi ndiyo maana mpiga picha alikuwepo na wengine waliopo wanacheka na wamesimama ovyo ovyo kama raia.[/QUOTE
Hao ni waNaa ....hiyo ni baada ya PT (Physical Training) wakaamua wajile tena.
Wangepiga TAnganyika Jeki ningewaSalut.
Hawajui tu. Navojua mm wanovujisha hizi picha ni hawahawa askari wetu mpaka zinasambaa hivi.
Mh!!!!!! Hawa wanaandaliwa kwenda kuwaokoa wale mabinti was Nigeria waliotekwa Hui si uzalendo