mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
jahazi ndo hili linakata mawimbi nahodha wetu ndo kama mnavyomjua.
Usipojikataza mawimbi yatakutupa baharini.
TUTAFIKA TU
Usipojikataza mawimbi yatakutupa baharini.
TUTAFIKA TU
Ukitoka hapo hi-tech unapelekwa Muhimbili ukafie huko.Unaambiwa sasa hivi vigogo wengi wanaopata changamoto ya kupumua wanapelekwa Hospitali Moja iko Upanga inaitwa HITECH SAI , ni balaa ! wasio na macho matatu wanajua wanapelekwa Muhimbili , lakini huko Mwaisela hawafiki
Hii nimr itaishia kudharauliwa Sana na taasisi za tafiti za kidunia.Nyungu na ule uji wa NIMRI ni upumbavu mtupu. Hakuna mwenye acute Covid 19 anayeweza kusaidiwa na hizo takataka.
Kama unataka kumwahisha mgonjwa wako kaburini, mpige nyungu.
Kibaya zaidi wanaaminishwa kuwa ile temperature ya mvuke wa nyungu inafika kwenye mapafu.Kama korona inasababisha microthrombi ambazo kwenye mapafu zinaziba vile vimishipa vidogo vya damu ambavyo vinahusika pia na gaseous exchange.
Nilitarajia quick improvement kama wagonjwa watapewa anticoagulant drugs, mfano Aspirin kuliko kuwaweka kwenye ventilator pekee.
Hata alitusaidia tulishuhudia watu wakitumia muda na nguvu nyingi kumtukuza binadamu.Mungu ana mambo mengi yakufanya kwa watu wake ametupatia akili na maarifa yakumaliza baadhi ya changamoto sasa kumrudishia tena yeye ni ujinga
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Kinakuwa kirusi kikishaingia ndani ya cell. Kikiwa nje si lolote si chochote. Hapo ndiyo sanitizer (iliyotengenezwa vizuri) na sabuni vinapochukua nafasi muhimu kuzuia hii particle isiingie ndani ya seli.Sanitizer haziui kurusi...labda kunawa mikono
Tumezika jirani wa tatu leo in a space of 13 days. Pressure, kisukari then dudu la COVID19 likajimix humoWagonjwa wa kisukari na presha huu ugonjwa ukikukaba masaa mawili ni mengi .....!!! Stay away
Mkuu unatumia mbinu gani kupona..?Nimeugua Corona mara mbili, Nina Pressure na Sukari natembea kama Chuma Cha Mdachi
Jamaa yangu ana Sukari, Pressure, Vidonda vya tumbo na ngoma amepata Corona mara mbili anadunda kama chuma cha Mdachi, Chukua tahadhi nawa mikono epuka mikusanyiko
depends on our economic situation.hand to mouth basis.swahil say rizik ya mbwa ipo miguun kwakeThe only thing that will save lives from this disease is to stick our asses at home. But the problem comes Black asses are not adhesive at all!
Perfect.Taratibu ni zile zile Mkuu.
1. Kuvaa barakoa
2.Kutumia "SANTAIZA".
3.Kunawa Mikono na maji tiririka na sabuni.
4.Social Distancing.
5.Kama hakuna ulazima wa kutoka basi ni bora utulie nyumbani.
6.Kufanya Mazoezi.
7.Kula vyakula vya kuongeza kinga za mwili.
Kazi tumuachie Nani?The only thing that will save lives from this disease is to stick our asses at home. But the problem comes Black asses are not adhesive at all!
Mambo ya kutaja taja majina ya watu ktk mitandao ya kijamii hata haipendezi!Mzee Ntagazwa alikosa kitanda Regency
Wewe kama nani ? hili alilisema mtoto wake alipotoa salamu siku ya mazishi mbele ya hadhara , unataka tufiche ili iweje ?Mambo ya kutaja taja majina ya watu ktk mitandao ya kijamii hata haipendezi!
Kama alilisema mtoto wake na wewe unalisemea kama nani?Wewe kama nani ? hili alilisema mtoto wake alipotoa salamu siku ya mazishi mbele ya hadhara , unataka tufiche ili iweje ?
Huna hojaKama alilisema mtoto wake na wewe unalisemea kama nani?
Nonsense!