Hii ndio hatari na tishio linalotokana na changamoto ya upumuaji

Nani alikueleza leta picha tuone au news za kiingreza tuone
Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,
Padri akafa
 
Haya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Duuh poleni sana
 
Takwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
Wanakwambia bora watu wote wafe , ila uchumi ukue, Sasa sijui huo uchumi ni kwa manufaa Ya nani
 
By Boniface Jacob kupitia Twitter:

Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.

Sikuwahi Kujua Ipo Siku sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA.

Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Rais kala chanjo
Raia wanakata kamba

Ni rais wa Magada
 
Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine, sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi.

Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Kwani mwaka jana mlikuwa mnajikinga vip kabla ujinga haujaingilia kati.
 
Huu ni ugonjwa au jinamizi? Maana unaenda kugusa sehemu maalumu ya kuitwa mtu yupo Hai yaaani PUMZI
 
Taratibu ni zile zile Mkuu.

1. Kuvaa barakoa
2.Kutumia "SANTAIZA".
3.Kunawa Mikono na maji tiririka na sabuni.
4.Social Distancing.
5.Kama hakuna ulazima wa kutoka basi ni bora utulie nyumbani.
6.Kufanya Mazoezi.
7.Kula vyakula vya kuongeza kinga za mwili.
I say huu ungonjwa kama ni kusambaa TZ na basi umesambaa saana... Nalaumu sana baadhi ya viongozi wenu. Nchi yenu ya TZ iina kila kitu inachohitaji kuwa number moja kand ahii ya afrika mashariki na ya kati. Lakini mara kwa mara decisions ambazo baadhi ya viongozi wenu huchukua, huwa za kuhuzunisha saana.
Walisema hakuna ungonjwa TZ na kutupilia mbali taratibu za kujikinga nakdhlika.
Its good to be unique ,but not too unique.
Hata Biblia yenyewe kuna mahali inasema:

ISAIAH 26:20 (Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita)
Mambo ya kujiunga na mambo ya afrika mashariki mkawa na ugumu, yaani mambo yenu mengi mnayafanya kitofauti tofauti na ina wagharimu saana kama nchi.
AMKENI NDUGU ZETU.
 
I say huu ungonjwa kama ni kusambaa TZ na basi umesambaa saana... Nalaumu sana baadhi ya viongozi wenu. Nchi yenu ya TZ iina kila kitu inachohitaji kuwa number moja kand ahii ya afrika mashariki na ya kati. Lakini mara kwa mara decisions ambazo baadhi ya viongozi wenu huchukua, huwa za kuhuzunisha saana.
Walisema hakuna ungonjwa TZ na kutupilia mbali taratibu za kujikinga nakdhlika.
Its good to be unique ,but not too unique.
Hata Biblia yenyewe kuna mahali inasema:

ISAIAH 26:20 (Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita)
Mambo ya kujiunga na mambo ya afrika mashariki mkawa na ugumu, yaani mambo yenu mengi mnayafanya kitofauti tofauti na ina wagharimu saana kama nchi.
AMKENI NDUGU ZETU.
Sasa kinachofatia ni TZ kutengwa na nchi nyingi kutokana na hali ya ugonjwa huu huko kwenu..pia itabidi travel advisory zitolewe na hii pia itawagharimu.
 
Back
Top Bottom