Hii ndio hali ninayoiona kwa sasa kwa watu wasiotumia mitandao na kwa wasio na access na mitandao

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Today, for some events or incidents; and for some of the times or all the times;people who do not use internet or have no access to internet(social networks); have only access to news about those evente or incidents but not access to information following that news.


Kwa hali ya sasa,kwa baadhi ya matukio, kama hutumii mitandao ya kijamii; ni vigumu sana kupata details za nini hasa kinaendeleoa au nini hasa kimetokeo/kikitokea.

Kwa mfano,mtu ambae hana access na mitandao anajua kwa undani nini kikitokea katika chaguzi ndogo zinazolalamikiwa na wapinzani?Zile picha tulioziona mitandaoni nao waliziona?

Kwa sasa hii ndio changamoto kubwa ninayoiona na ambayo inabidi ifanyiwe utafiti hata usio rasimi ili kuweza kujua ni namna gani inatuathiri na nini kifanyike kabla ya 2020.

Unaweza kukuta ni asilimia ndogo ya watu ambao wana details na hali haisi iliyopo huku wengi wanasikia juu juu tu kuhusu yaliyoyokea au yanayoendelea kutokea na hivyo kutojali au kudhani ni kelele tu za wanasiasa wanaotafuta huruma ya wananchi.
 
Kwa duniani inavyoelekea lazima tuendane na mapinduzi ya technolojia, maana Kama huna access Internet ya social media huwezi pata mambo mengi, zaidi zaidi utaishia kuangalia taarifa ya Habari iliyo chakachuliwa.
 
Kwa duniani inavyoelekea lazima tuendane na mapinduzi ya technolojia, maana Kama huna access Internet ya social media huwezi pata mambo mengi, zaidi zaidi utaishia kuangalia taarifa ya Habari iliyo chakachuliwa.
 
Kwa duniani inavyoelekea lazima tuendane na mapinduzi ya technolojia, maana Kama huna access Internet ya social media huwezi pata mambo mengi, zaidi zaidi utaishia kuangalia taarifa ya Habari iliyo chakachuliwa.
Binafsi mbali n kuingia mitandaoni,huwa najaribu kufanya utafiti usio rasimi kwa kuhoji watu wanaonizunguka ili kujua uelewa wao wa baadhi ya mambo yanayotokea na sometimes huwa nakuwa dissapointed kabisa.

Kwa mfano,huwa nahoji majirani, watu wa kazini au hata siku nikikodi bodaboda huwa najaribu kuwapeleleza madereva wa boda boda kwa lengo la kutaka kujua kama kweli watu wengi wanaelewa kwa undani mambo yanayoendelea.

Watu wasio na details ni rahisa sana kupotoshwa na propanda na hili ndio tatizo kubwa na kwa watu wengi wasiokuwa na details za yanayoendekea hapa nchini.
 
Kwa sasa hii ndio changamoto kubwa ninayoiona na ambayo inabidi ifanyiwe utafiti hata usio rasimi ili kuweza kujua ni namna gani inatuathiri na nini kifanyike kabla ya 2020.
Ndugu yangu majibu hapa yako wazi. Sidhani kama utafiti unahitajika! Kuna wengine siye hata hivyo vyombo vya habari hatuna habari navyo miaka nenda rudi. Habari ziko viganjani na kwenye Komputa mpakato..
 
Today, for some events or incidents; and for some of the times or all the times;people who do not use internet or have no access to internet(social networks); have only access to news about those evente or incidents but not access to information following that news.


Kwa hali ya sasa,kwa baadhi ya matukio, kama hutumii mitandao ya kijamii; ni vigumu sana kupata details za nini hasa kinaendeleoa au nini hasa kimetokeo/kikitokea.

Kwa mfano,mtu ambae hana access na mitandao anajua kwa undani nini kikitokea katika chaguzi ndogo zinazolalamikiwa na wapinzani?Zile picha tulioziona mitandaoni nao waliziona?

Kwa sasa hii ndio changamoto kubwa ninayoiona na ambayo inabidi ifanyiwe utafiti hata usio rasimi ili kuweza kujua ni namna gani inatuathiri na nini kifanyike kabla ya 2020.

Unaweza kukuta ni asilimia ndogo ya watu ambao wana details na hali haisi iliyopo huku wengi wanasikia juu juu tu kuhusu yaliyoyokea au yanayoendelea kutokea na hivyo kutojali au kudhani ni kelele tu za wanasiasa wanaotafuta huruma ya wananchi.
What is your point of reference? If you're referring to rural communities, you might be underrating them. Although, the rate of news circulation in rural setting is slow its penetration is guaranteed. A copy of the news paper might circulate for a week or so, from Mr X to Mr Y, be it in furneral, wedding or any other gathering. So long as their news sources are limited, one event remains a topic of the talk for a month or so in social gathering. As a result, the impact of news in villages is long lasting than in town.
 
Today, for some events or incidents; and for some of the times or all the times;people who do not use internet or have no access to internet(social networks); have only access to news about those evente or incidents but not access to information following that news.


Kwa hali ya sasa,kwa baadhi ya matukio, kama hutumii mitandao ya kijamii; ni vigumu sana kupata details za nini hasa kinaendeleoa au nini hasa kimetokeo/kikitokea.

Kwa mfano,mtu ambae hana access na mitandao anajua kwa undani nini kikitokea katika chaguzi ndogo zinazolalamikiwa na wapinzani?Zile picha tulioziona mitandaoni nao waliziona?

Kwa sasa hii ndio changamoto kubwa ninayoiona na ambayo inabidi ifanyiwe utafiti hata usio rasimi ili kuweza kujua ni namna gani inatuathiri na nini kifanyike kabla ya 2020.

Unaweza kukuta ni asilimia ndogo ya watu ambao wana details na hali haisi iliyopo huku wengi wanasikia juu juu tu kuhusu yaliyoyokea au yanayoendelea kutokea na hivyo kutojali au kudhani ni kelele tu za wanasiasa wanaotafuta huruma ya wananchi.
Unajua mpaka leo kuna mbumbumbu wanaamini kuhusu makinikia .
 
Ndugu yangu majibu hapa yako wazi. Sidhani kama utafiti unahitajika! Kuna wengine siye hata hivyo vyombo vya habari hatuna habari navyo miaka nenda rudi. Habari ziko viganjani na kwenye Komputa mpakato..
Tatizo sio watu wote wana smartphone au kompyuta na si wote wenye smartphone au kompyuta wanafuatilia habari za siasa na wanasiasa lakini kura wanapiga.

Unajua hapa nchini kwetu habari ya Diamond kafanya nini au kaongea nini inaweza kufuatliwa na watu wengi kuliko habari ya Mbowe au Waziri Mkuu katamka nini?

Unajua unaweza kuta Diamond ana followers wengi kuliko hata wanasiasa watatu maarufu?

Pamoja na figisufigusu na mazingira magumu tulionayo,vyama vya siasa vinahitaji kuwa na vitengo vya utafiti vinavyodili na wapiga kura na sio kuwa vitengo vya sera tu na mambo mengine ya aina hiyo.
 
What is your point of reference? If you're referring to rural communities, you might be underrating them. Although, the rate of news circulation in rural setting is slow its penetration is guaranteed. A copy of the news paper might circulate for a week or so, from Mr X to Mr Y, be it in furneral, wedding or any other gathering. So long as their news sources are limited, one event remains a topic of the talk for a month or so in social gathering. As a result, the impact of news in villages is long lasting than in town.
Ni kweli ila tambua wabongo wengi hupenda kusoma magazeti ya sports na udaku kuliko magazeti yanayoandika habari za siasa,uchumi,kilimo,afya,n.k?

Mikutano ya kisiasa ndio angalau huwa inasaidia kueleza wananchi mambo mbalimbali ila sasa ndio hiyo imepigwa marufuku.
 
Unajua mpaka leo kuna mbumbumbu wanaamini kuhusu makinikia .
Tatizo sio wafuatiliaji.Wewe mwenye access na mitandao na mwenye interest ya kufuatilia mambo haya si rahisi kupotoshwa na propanda za makinikia ila wale wanaomsikiliza mkulu kwenye redio na tv ni rahisi sana kuchotwa akili.

Mfano mwingine,watanzania ambao hawana access na mitandao au hawana interest na habari a siasa,wanajua ghrama ya zile hostel za UD ni kiasi gani kwa mujibu wa Zitto/CAG?

Hili ndio tatizo nalolisema hapa.
 
Ni kweli ila tambua wabongo wengi hupenda kusoma magazeti ya sports na udaku kuliko magazeti yanayoandika habari za siasa,uchumi,kilimo,afya,n.k?

Mikutano ya kisiasa ndio angalau huwa inasaidia kueleza wananchi mambo mbalimbali ila sasa ndio hiyo imepigwa marufuku.
Kama unatumia vizuri mitandao ya ki jamii hakuna sababu ya kusoma magazeti, ambayo habari zake zime editiwa kwa kiwango kikubwa.
 
Kama unatumia vizuri mitandao ya ki jamii hakuna sababu ya kusoma magazeti, ambayo habari zake zime editiwa kwa kiwango kikubwa.
Na ndio maana nimeema hapo juu kuwa watu wasiotumia mitandao wanakuwa hawana details na kukosa kabisa baadhi ya informtion kwa maana ya kutozozisikia au kuzipata kwa undani.

Kwa mfano,Kubenea kadai ana ushahidi wa CCM kutenga bilioni kadhaa kwa ajili ya kununua wanasiasa na kwamba ushahidi anao.

Umejiuliza habari hii iliyoko mtandaoni na ambayo CCM hawajaikanusha imewafikia watanzania wangapi?
 
kiukweli katika ulimwengu wa sasa matumizi ya internet hayaepukiki ktk masuala ya kupashana habari mbalimbali za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.
 
Tatizo sio watu wote wana smartphone au kompyuta na si wote wenye smartphone au kompyuta wanafuatilia habari za siasa na wanasiasa lakini kura wanapiga.

Unajua hapa nchini kwetu habari ya Diamond kafanya nini au kaongea nini inaweza kufuatliwa na watu wengi kuliko habari ya Mbowe au Waziri Mkuu katamka nini?

Unajua unaweza kuta Diamond ana followers wengi kuliko hata wanasiasa watatu maarufu?

Pamoja na figisufigusu na mazingira magumu tulionayo,vyama vya siasa vinahitaji kuwa na vitengo vya utafiti vinavyodili na wapiga kura na sio kuwa vitengo vya sera tu na mambo mengine ya aina hiyo.

Salary sleep hapa umeongea jambo la msingi sana. Hata mimi hupenda kuanzisha mada hata kwa hawa wenye smartphone kupima uelewa wao kwenye mambo ya siasa. Kwa kweli hawajui mambo mengi yanayotekea huko hasa wakati huu ambapo vyombo vya habari vinaripoti ya watawala tu. Madhara ya kukosekana kwa mikutano ya hadhara nayaona sana. Wangalau wakati ule watu walikuwa wanamshwa ni ile mikutano ya hadhara kwani hata kama mtu hajaenda basi atauliza walioenda na kilichozungmzwa. Hata bunge live lilivuta wengi kujua nini kinaendelea. Kwa sasa hivi ni kama watu wamerudi nyuma wanalishwa propaganda za ccm. Juzi nimesikitika sana niliposikia Ally Bananga kajitoa kwenye mjadala wa Star TV, mijadala kama hiyo inachangia chama kubaki akilini mwa watu na ni nafasi ya kuondoa upotoshwaji wowote. Nitakuja na uchunguzi wangu nitakaofanya muda ujao kuhusu hali hii, kwani nitakuwa na safari za vijijini.
 
Na ndio maana nimeema hapo juu kuwa watu wasiotumia mitandao wanakuwa hawana details na kukosa kabisa baadhi ya informtion kwa maana ya kutozozisikia au kuzipata kwa undani.

Kwa mfano,Kubenea kadai ana ushahidi wa CCM kutenga bilioni kadhaa kwa ajili ya kununua wanasiasa na kwamba ushahidi anao.

Umejiuliza habari hii iliyoko mtandaoni na ambayo CCM hawajaikanusha imewafikia watanzania wangapi?
Aiseeeee !!!!
 
.....vyama vya siasa vinahitaji kuwa na vitengo vya utafiti vinavyodili na wapiga kura na sio kuwa vitengo vya sera tu na mambo mengine ya aina hiyo.
Mkuu, nimekuelewa. Ndo maana nikajenga hoja yangu kuwa: UKWELI HUU HAUHITAJI UTAFITI....
 
komaeni kutafuta mbinu mbadara, mkiendelea kutegemea kura za watumia mitandao mtazid kuangukia pua. lakin pia hzo habari za mitandaon mnazotaka ziwafikie wananchi wengi ni sharti ziwe za kweli na zenye tija, zisiwe za kupandikiza chuki dhidi ya serikali, vinginevyo zitapuuzwa tu, kama zinavyopuuzwa sasa. watazania sio manyumbu wakulishwa ujinga kama mnavotaka.
 
Back
Top Bottom