Hii ndio dawa ya nguvu za kiume 100%

Wanaume tunateseka sana. Haya yote wanawake waridhike. Lkn pamoja kua na mabwawa wanataka tuwe na mashine kubwa kuhimili ukubwa wa mabwawa yao kitu ambacho sio kosa letu.

Wanaume tutaenda mbinguni tukiwa tumechoka sana.

Nawasilisha.
Hayo ziada tu but kinachotakiwa nikuwa na performance nzuri kwenye sex hata kuwa fresh tu mwili wako yani unajihisi comfortable

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Hayo ziada tu but kinachotakiwa nikuwa na performance nzuri kwenye sex hata kuwa fresh tu mwili wako yani unajihisi comfortable

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Hawaridhiki hao ndugu yangu. Hata uto***m mpaka jioni mfululizo kwao sawa tu. Ww ni nani mpaka umridhishe mwanadamu? Tendo lile ni kwa ajuli ya kuzaliana na sio kuridhishana. Mtakufa nyie
 
Hapo hakuna dawa ni porojo tu. Eti unywe maji lita tatu asubuhi na uache kabisa kula wanga. Kakwambia nani
 
Katika kipindi cha miezi 5 Nimekutana na Wanaume sio chini ya 100 Ambao walidai wana upungufu wa Nguvu za kiume Na Asilimia 90 walikua ni Vijana Wa Miaka 22 kushuka mpaka 16. Miaka 30 walikua Asilimia 7 na Miaka 40 kuendelea juu walikua Asilimia 3.

Hii ilikua ni kinyume kabisa na uhalisia kwamba changamoto hizi huanza jitokeza kwa Wazee na wenye Magonjwa Sugu na yasiyoambukiza pamoja na uzito mkubwa. Ikanibidi nisome zaidi kujua namna ya kudeal nao.

Kulingana na Tafiti za kitabibu Chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume zipo katika makundi matatu.
*Pschological ( Afya ya Akili )
*Psysiological (Magonjwa na Athari zingine kama Majeraha Nk)
*Mfumo wa Maisha ( Vyakula Mazoezi Nk.)

Uchambuzi nilioufanya wengi niliozungumza nao niligundua hapo tatizo lilikua ni Akili japo pia vingine vilihusika.( Japo hawakuwa wakifahamu )
Niliwauliza maswali Mengi ...Majibu yao yalifanana kwa kiwango kikubwa....

Wote walikiri kutazama Video za Uchi/ Punyeto iliyokithiri. Japo walidai kuwa wameacha ( Uhalisia hawakuwa wameacha ). Sasa nikagundua jambo...Kundi hilohilo walilalamika kuwa na uume mdogo. Hapa nikaona tayari Porn imekwisha haribu akili.
Wote walitazama sex kama sehemu ya kumkomoa mwanamke zaidi ya kuwa jambo la kuridhishana kihisia.

Hakuna aliyetazama sex na uwezo wake katika njia chanya. Walijawa na Kutokujiamini, Unyoge na hisia za kitokuweza jambo hilo.Nilijitahidi kuwaweka Sawa kiakili ( Muitikio haukuwa mzuri ) walihitaji Short cut...Samahani mkuu nipatie dawa kama ipo.... Kauli hizi zilitawala sana.

NAHITIMISHA Kwa Kusema Alicho kushauru Mkuu hapo juu zingatia...Lakini Mimi nakuambia pia AKILI Yako ndiyo Wewe Kuwq makini sana na unachoingiza Akilini Kwani kitakuchonga kwa namna Fulani.
*Acha Kutazama Porn/ Kujichua
*Ridhika na Size yako ya Maumbile ( Muhimu ni Stamina sio Urefu )
* Kuwa na mpenzi Mmoja tu Mpende sanaa.
*Fanya meditation ili kusafisha Akili yako
*Mazoezi ya Kegel
* Fanya mapenzi kwa hisia na sio historia ( Namaanisha fikiria Kuhusu kuridhika kihisia na sio kupeleka moto kama vijana wasemavyo)

KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NI RAHISI SANA.
 
Katika kipindi cha miezi 5 Nimekutana na Wanaume sio chini ya 100 Ambao walidai wana upungufu wa Nguvu za kiume Na Asilimia 90 walikua ni Vijana Wa Miaka 22 kushuka mpaka 16. Miaka 30 walikua Asilimia 7 na Miaka 40 kuendelea juu walikua Asilimia 3.

Hii ilikua ni kinyume kabisa na uhalisia kwamba changamoto hizi huanza jitokeza kwa Wazee na wenye Magonjwa Sugu na yasiyoambukiza pamoja na uzito mkubwa. Ikanibidi nisome zaidi kujua namna ya kudeal nao.

Kulingana na Tafiti za kitabibu Chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume zipo katika makundi matatu.
*Pschological ( Afya ya Akili )
*Psysiological (Magonjwa na Athari zingine kama Majeraha Nk)
*Mfumo wa Maisha ( Vyakula Mazoezi Nk.)

Uchambuzi nilioufanya wengi niliozungumza nao niligundua hapo tatizo lilikua ni Akili japo pia vingine vilihusika.( Japo hawakuwa wakifahamu )
Niliwauliza maswali Mengi ...Majibu yao yalifanana kwa kiwango kikubwa....

Wote walikiri kutazama Video za Uchi/ Punyeto iliyokithiri. Japo walidai kuwa wameacha ( Uhalisia hawakuwa wameacha ). Sasa nikagundua jambo...Kundi hilohilo walilalamika kuwa na uume mdogo. Hapa nikaona tayari Porn imekwisha haribu akili.
Wote walitazama sex kama sehemu ya kumkomoa mwanamke zaidi ya kuwa jambo la kuridhishana kihisia.

Hakuna aliyetazama sex na uwezo wake katika njia chanya. Walijawa na Kutokujiamini, Unyoge na hisia za kitokuweza jambo hilo.Nilijitahidi kuwaweka Sawa kiakili ( Muitikio haukuwa mzuri ) walihitaji Short cut...Samahani mkuu nipatie dawa kama ipo.... Kauli hizi zilitawala sana.

NAHITIMISHA Kwa Kusema Alicho kushauru Mkuu hapo juu zingatia...Lakini Mimi nakuambia pia AKILI Yako ndiyo Wewe Kuwq makini sana na unachoingiza Akilini Kwani kitakuchonga kwa namna Fulani.
*Acha Kutazama Porn/ Kujichua
*Ridhika na Size yako ya Maumbile ( Muhimu ni Stamina sio Urefu )
* Kuwa na mpenzi Mmoja tu Mpende sanaa.
*Fanya meditation ili kusafisha Akili yako
*Mazoezi ya Kegel
* Fanya mapenzi kwa hisia na sio historia ( Namaanisha fikiria Kuhusu kuridhika kihisia na sio kupeleka moto kama vijana wasemavyo)

KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NI RAHISI SANA.
Nini ni viashiria vya upungufu wa nguvu za kiume ?

Mtafiti?
 
mawaso na unatamani iwe hivyo lakini ukweli ni kwamba hayo yote uliyotaja nayo yana shida sana baada ya kuchakachuliwa kwa kiasi kikubwa.

bahati mbaya mamlaka zilizo na nguvu ya kututetea ziko bize na siasa bada kufanya mambo kutuokoa wananchi.

tunakula sumu nyingi sana watanzania wenzangu,sasa hivi kila kitu kinapigwa dawa tena bila kuzingatia muda wa tangu kipigwe dawa hadi kifike kwa mlaji wa mwisho.

mfano mkubwa ni nyanya,matikiti,matango,karoti na mboga nyingi za majani...juzi nimeuziwa nyanya zikiwa na madoa meupe kabisa na harufu kali ya dawa ni kama zimetoka kupigwa jana yake zikaja sokoni,sasa unakula hizi unasema umekula salad natural kumbe umebugia sumu wazi wazi.

kama umewahi lima matikiti basi huwezi kuyala kabisa,mimi niliyalima,ule mchakato wake hadi linakua lile tunda kubwa limevimba jekundu ni mwendo wa madawa na kemikali mtupu,sisi tunakuja enjoy mchuzi ule na mtoa mada anasema kula kipande cha tikiti...bila kujua hilo tikiti limejaa sumu zilizotumika kulikuza,halafu unakuta mtu anakula matikiti yaliyokuzwa kwa madawa halafu anamcheka anayekula kuku wa kisasa,ujinga mzigo!!!

unasema mayai ya kienyeji eehh..kuku wa kienyeji siku hizi nao wanabugizwa madawa kibao,tofauti na wa kisasa labda kwenye vyakula tu,ila wanakula vyakula maalumu ili kuongeza rate ya kutaga,kwahiyo nao wamejaa madawa shazi tu...hapo ni tembea kwa kila kitu.

wizara ya afya sijui kama imeshaliona hili tatizo,hakuna kabisa control ya bidhaa gani za vyakula ziingie sokoni kwa vigezo vyake,kuna habari kuwa hata nyama buchani pamoja na samaki zinapigwa dawa za kuhifadhia maiti ili zisioze na wauzaji wasipate hasara,hakuna anayejali...sasa unakazana kusema unakula samaki natural kumbe keshapigwa kemikali kali za kutunza asioze,hakuna anayejali!!!!

kuna mdau juzi aliuliza kwanini siku hizi homa za ini na figo zinaua sana,vijana wadogo tu tayari wanaumwa figo na maini,sababu ni haya masumu tunabugia kila siku kwenye vyakula.

hakuna kitu natural tunakula zaidi ya vichache saaaanaaa... kwahiyo hakuna aliye salama.

ndio maana wenzetu wana utaratibu wa kupima kiwango cha kemikali kwenye vyakula.

organic farming is the only solution, otherwise tutazikana sana maniner..
 
Yaani unatoka kuamka unapiga rita tatu za maji, huku unaandaa nguo za kwenda kukimbia kilometa mbili, wee...
 
Katika kipindi cha miezi 5 Nimekutana na Wanaume sio chini ya 100 Ambao walidai wana upungufu wa Nguvu za kiume Na Asilimia 90 walikua ni Vijana Wa Miaka 22 kushuka mpaka 16. Miaka 30 walikua Asilimia 7 na Miaka 40 kuendelea juu walikua Asilimia 3.

Hii ilikua ni kinyume kabisa na uhalisia kwamba changamoto hizi huanza jitokeza kwa Wazee na wenye Magonjwa Sugu na yasiyoambukiza pamoja na uzito mkubwa. Ikanibidi nisome zaidi kujua namna ya kudeal nao.

Kulingana na Tafiti za kitabibu Chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume zipo katika makundi matatu.
*Pschological ( Afya ya Akili )
*Psysiological (Magonjwa na Athari zingine kama Majeraha Nk)
*Mfumo wa Maisha ( Vyakula Mazoezi Nk.)

Uchambuzi nilioufanya wengi niliozungumza nao niligundua hapo tatizo lilikua ni Akili japo pia vingine vilihusika.( Japo hawakuwa wakifahamu )
Niliwauliza maswali Mengi ...Majibu yao yalifanana kwa kiwango kikubwa....

Wote walikiri kutazama Video za Uchi/ Punyeto iliyokithiri. Japo walidai kuwa wameacha ( Uhalisia hawakuwa wameacha ). Sasa nikagundua jambo...Kundi hilohilo walilalamika kuwa na uume mdogo. Hapa nikaona tayari Porn imekwisha haribu akili.
Wote walitazama sex kama sehemu ya kumkomoa mwanamke zaidi ya kuwa jambo la kuridhishana kihisia.

Hakuna aliyetazama sex na uwezo wake katika njia chanya. Walijawa na Kutokujiamini, Unyoge na hisia za kitokuweza jambo hilo.Nilijitahidi kuwaweka Sawa kiakili ( Muitikio haukuwa mzuri ) walihitaji Short cut...Samahani mkuu nipatie dawa kama ipo.... Kauli hizi zilitawala sana.

NAHITIMISHA Kwa Kusema Alicho kushauru Mkuu hapo juu zingatia...Lakini Mimi nakuambia pia AKILI Yako ndiyo Wewe Kuwq makini sana na unachoingiza Akilini Kwani kitakuchonga kwa namna Fulani.
*Acha Kutazama Porn/ Kujichua
*Ridhika na Size yako ya Maumbile ( Muhimu ni Stamina sio Urefu )
* Kuwa na mpenzi Mmoja tu Mpende sanaa.
*Fanya meditation ili kusafisha Akili yako
*Mazoezi ya Kegel
* Fanya mapenzi kwa hisia na sio historia ( Namaanisha fikiria Kuhusu kuridhika kihisia na sio kupeleka moto kama vijana wasemavyo)

KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NI RAHISI SANA.
Peleka moto.. we mpeleke 🔥 Kwishineyi
 
Katika kipindi cha miezi 5 Nimekutana na Wanaume sio chini ya 100 Ambao walidai wana upungufu wa Nguvu za kiume Na Asilimia 90 walikua ni Vijana Wa Miaka 22 kushuka mpaka 16. Miaka 30 walikua Asilimia 7 na Miaka 40 kuendelea juu walikua Asilimia 3.

Hii ilikua ni kinyume kabisa na uhalisia kwamba changamoto hizi huanza jitokeza kwa Wazee na wenye Magonjwa Sugu na yasiyoambukiza pamoja na uzito mkubwa. Ikanibidi nisome zaidi kujua namna ya kudeal nao.

Kulingana na Tafiti za kitabibu Chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume zipo katika makundi matatu.
*Pschological ( Afya ya Akili )
*Psysiological (Magonjwa na Athari zingine kama Majeraha Nk)
*Mfumo wa Maisha ( Vyakula Mazoezi Nk.)

Uchambuzi nilioufanya wengi niliozungumza nao niligundua hapo tatizo lilikua ni Akili japo pia vingine vilihusika.( Japo hawakuwa wakifahamu )
Niliwauliza maswali Mengi ...Majibu yao yalifanana kwa kiwango kikubwa....

Wote walikiri kutazama Video za Uchi/ Punyeto iliyokithiri. Japo walidai kuwa wameacha ( Uhalisia hawakuwa wameacha ). Sasa nikagundua jambo...Kundi hilohilo walilalamika kuwa na uume mdogo. Hapa nikaona tayari Porn imekwisha haribu akili.
Wote walitazama sex kama sehemu ya kumkomoa mwanamke zaidi ya kuwa jambo la kuridhishana kihisia.

Hakuna aliyetazama sex na uwezo wake katika njia chanya. Walijawa na Kutokujiamini, Unyoge na hisia za kitokuweza jambo hilo.Nilijitahidi kuwaweka Sawa kiakili ( Muitikio haukuwa mzuri ) walihitaji Short cut...Samahani mkuu nipatie dawa kama ipo.... Kauli hizi zilitawala sana.

NAHITIMISHA Kwa Kusema Alicho kushauru Mkuu hapo juu zingatia...Lakini Mimi nakuambia pia AKILI Yako ndiyo Wewe Kuwq makini sana na unachoingiza Akilini Kwani kitakuchonga kwa namna Fulani.
*Acha Kutazama Porn/ Kujichua
*Ridhika na Size yako ya Maumbile ( Muhimu ni Stamina sio Urefu )
* Kuwa na mpenzi Mmoja tu Mpende sanaa.
*Fanya meditation ili kusafisha Akili yako
*Mazoezi ya Kegel
* Fanya mapenzi kwa hisia na sio historia ( Namaanisha fikiria Kuhusu kuridhika kihisia na sio kupeleka moto kama vijana wasemavyo)

KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI NI RAHISI SANA.
Asante sana, Hilo la akili nimezungumzia nikasema acha kuwa na msongo wa mawazo

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
mawaso na unatamani iwe hivyo lakini ukweli ni kwamba hayo yote uliyotaja nayo yana shida sana baada ya kuchakachuliwa kwa kiasi kikubwa.

bahati mbaya mamlaka zilizo na nguvu ya kututetea ziko bize na siasa bada kufanya mambo kutuokoa wananchi.

tunakula sumu nyingi sana watanzania wenzangu,sasa hivi kila kitu kinapigwa dawa tena bila kuzingatia muda wa tangu kipigwe dawa hadi kifike kwa mlaji wa mwisho.

mfano mkubwa ni nyanya,matikiti,matango,karoti na mboga nyingi za majani...juzi nimeuziwa nyanya zikiwa na madoa meupe kabisa na harufu kali ya dawa ni kama zimetoka kupigwa jana yake zikaja sokoni,sasa unakula hizi unasema umekula salad natural kumbe umebugia sumu wazi wazi.

kama umewahi lima matikiti basi huwezi kuyala kabisa,mimi niliyalima,ule mchakato wake hadi linakua lile tunda kubwa limevimba jekundu ni mwendo wa madawa na kemikali mtupu,sisi tunakuja enjoy mchuzi ule na mtoa mada anasema kula kipande cha tikiti...bila kujua hilo tikiti limejaa sumu zilizotumika kulikuza,halafu unakuta mtu anakula matikiti yaliyokuzwa kwa madawa halafu anamcheka anayekula kuku wa kisasa,ujinga mzigo!!!

unasema mayai ya kienyeji eehh..kuku wa kienyeji siku hizi nao wanabugizwa madawa kibao,tofauti na wa kisasa labda kwenye vyakula tu,ila wanakula vyakula maalumu ili kuongeza rate ya kutaga,kwahiyo nao wamejaa madawa shazi tu...hapo ni tembea kwa kila kitu.

wizara ya afya sijui kama imeshaliona hili tatizo,hakuna kabisa control ya bidhaa gani za vyakula ziingie sokoni kwa vigezo vyake,kuna habari kuwa hata nyama buchani pamoja na samaki zinapigwa dawa za kuhifadhia maiti ili zisioze na wauzaji wasipate hasara,hakuna anayejali...sasa unakazana kusema unakula samaki natural kumbe keshapigwa kemikali kali za kutunza asioze,hakuna anayejali!!!!

kuna mdau juzi aliuliza kwanini siku hizi homa za ini na figo zinaua sana,vijana wadogo tu tayari wanaumwa figo na maini,sababu ni haya masumu tunabugia kila siku kwenye vyakula.

hakuna kitu natural tunakula zaidi ya vichache saaaanaaa... kwahiyo hakuna aliye salama.

ndio maana wenzetu wana utaratibu wa kupima kiwango cha kemikali kwenye vyakula.

organic farming is the only solution, otherwise tutazikana sana maniner..
Ukienda feri kuchukua samaki anerukaruka katoka kuvuliwa hayo madawa yanatoka wapi??

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom