Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Kupendana.
Unamaanisha nini kupendana?
Unamaanisha nini kupendana?
Kupendana ni kosa?
Kupendana ni kosa?
kwani mada ni nini?Kupendana.
Unamaanisha nini kupendana?
Hii hapa..kwani mada ni nini?
Ndio nakuuliza kupendana ni kosa?Hii hapa..View attachment 1131340
Kupendana ni katika nia njema ambako sii kosa, siyo katika ouvu.Ndio nakuuliza kupendana ni kosa?
OkayMcheki cultural gal
A Man,
Baba mwenye nyumba.
Kuna shida gani Me akimpenda Me na Ke akimpenda Ke?Kupendana ni katika nia njema ambako sii kosa, siyo katika ouvu.
Sawa mama mwenye nyumba.... lolBaba mwenye nyumba unableed, acha lulazimisha vitu kengemaji we
Rejea ulichosema kua hukumu ya kifo ilikuwepo tangu enzi za Manabii na Mitume ndio nimekuuliza nitajie Shoga au Msagaji aliyeuliwa enzi za Mitume na Manabii,
Kwani kwenye Qur'aan kumeandikwa namna gani tusali ? Lakini mbona tunasali ?Sababu hata kwenye Quran HAKUNA sehemu imeandikwa kua Shoga na Msagaji wauawe na kama ipo weka hapa Aya tuisome,
Mamlaka ya kuhukumu/kuua yametoka kwa nani
Nipe Aya aliyosema tuuliweInaonekana husomi ninacho kiandika. Mamlaka ya hukumu yanetoka kwa Allah aliye juu kupitia sheria zake alizotuwekea sisi binadamu.
Unasema kuhusu Sodoma na Gomora kila siku ndio mfano wenu, nilishakuuliza hili swali unaweza kuiweka historia ya Sodoma na Gomora hapa ukakimbia.
Nipe Aya aliyosema tuuliwe
Ni mtu unayependa kubishana lakini hoja kutengeneza zinakushinda lol....Hili nilikujibu,labda kama unasoma kwa wasi wasi. Sona tena nilichokiandika huko juu.
Kwani kwenye Qur'aan kumeandikwa namna gani tusali ? Lakini mbona tunasali ?
Hapa unatakiwa kutuliza akili hasa.
Jambo baya na zuri ni kila mtu na anavyolitafsiri kwa mtazamo wake, mfano mimi naweza kusema kutoa roho ya kiumbe chochote ni jambo baya lakini mwingine anafurahi sana akiua viumbe wenzake kwa kua anahisi atapata zawadi
Ni mtu unayependa kubishana lakini hoja kutengeneza zinakushinda lol....
Watu wa aina yako hua mnanitia usingizi tu
Asili ni nini?
Ni mtu unayependa kubishana lakini hoja kutengeneza zinakushinda lol....
Watu wa aina yako hua mnanitia usingizi tu,
bado swali langu lipo pale pale nitajie Shoga au Msagaji aliyeuliwa enzi za Mitume na Manabii kupitia hiyo sheria ya kuua aliyoitoa Allah,
Pia nioneshe wapi Allah kasema Mashoga na Wasagaji wauawe....
ANGALIZO: Tangu jana maswali ni haya haya kama huna jibu basi mada hii haikufai angalia mbele.
Ni mtu unayependa kubishana lakini hoja kutengeneza zinakushinda lol....
Watu wa aina yako hua mnanitia usingizi tu,
bado swali langu lipo pale pale nitajie Shoga au Msagaji aliyeuliwa enzi za Mitume na Manabii kupitia hiyo sheria ya kuua aliyoitoa Allah,
Pia nioneshe wapi Allah kasema Mashoga na Wasagaji wauawe....
ANGALIZO: Tangu jana maswali ni haya haya kama huna jibu basi mada hii haikufai angalia mbele.