spetinaty
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 229
- 125
Namanisha affordabity na accessibility ya Mahindi, be meditative mrKwa awamu hii! Kwamba selikali ndio inalima mahindi ama,
Namanisha affordabity na accessibility ya Mahindi, be meditative mrKwa awamu hii! Kwamba selikali ndio inalima mahindi ama,
Marufuku Nisisikie mtu anazungumza habari ya njaa wala ugumu wa maisha mpige kazi tu by MOBUTU SE SESEKO wa TzHabari wakuu, hali ya maisha imezidi kuwa mbaya kiuchumia kwa baadhi ya raia wengi wa nchi hii. Pesa ikiwa haipatikani na ikipatikana hamna cha maana unachoweza kuifanyia...
Nimekuwa nasikia kupanda kwa unga tu, jana nimepita mashine kununua unga kilo 25 kwa bei ya jumla na kukuta unga umepanda bei kwa asilimia kubwa mwanzo unga kilo 25 tulikuwa tunanunua kwa sh.32.000 ila kwa sasa umefika sh 37000...
Bei ya reja reja kwa eneo nililopo kilo moja ni 1700.. Itakuwa vyema uzi huu ukatumika kupeana bei ya chakula hiki muhimu kwa watanzania wengi.
Wapi huko nduguHuku kilo moja sh.1400
una nauli ya kutoroka nchini
Huku mkoa wa geitaWapi huko ndugu
Ahahahah Front kwa front....Let them read the numbersMmmhh nkisikia ivi kale ka wimbo ka capt. Komba kananijia akilini.......
Leo nilienda maeneo ya ILULA-MAGU, MWANZA kununua pumba za Mahindi kwa ajili ya Mbwa na Bata nilikuta kwenye mashine ya kukoboa na kusaga Unga wananchi wananunua pumba za mahindi alafu wanazisaga kuwa Unga wa kupika Ugali. Pumba kisado kimoja TShs 1,500 na debe moja la pumba TShs 5,000 . Sado moja ya mahindi TShs 4,500 na debe la mahindi TShs 22,500!