sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,052
- 1,306
- Thread starter
- #61
Huku Veta kuna siri gani?Tutampeleka veta
Huku Veta kuna siri gani?Tutampeleka veta
MWanaume si lazima awe nazo Maana kuolewa ni Bahati ila kuoa ni mipango
Ndio nyie mnataka wenye yote hayo ili mpate kuwanyanyasa mkijua hawatakuwa na ubavu wa kujitetea.MWanaume si lazima awe nazo Maana kuolewa ni Bahati ila kuoa ni mipango
Umemuona eee.Una mawazo potofu
Mbona wapo halisi na asilia but wanapigika mbaya
Kumbe kuna wasabato feki eeee
Sio wasabato tu,wa hivyo wapo kibao labda hajakutana nao tu.Kazana bro kwa mashahidi wa yehova,sabato na mitume utawapata
Umemuona eee.
Unazungumzia wanawake wa sayari gani?Wapo wengi, sema tu hujamtafuta wa aina hyo.
Usikonde mkuuNa mm unipitie plz
Faiza foxy
Nakubaliana na hiloWale jina tu ila matendo tofauti kabisa
Usisau ntakua mshengaNgoja niweke kambi hapa nsweza jipatia jiko la mafiga.. Wakwanza nimemuona paprika
Hahahaaaa,,,,, kwa sasa je?Yaani huyo ni mimi mkuu, Akati niko sekondari![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]