Hii ndio aina ya mwanamke ninayempenda, wewe je!

Hii ndio aina ya mwanamke ninayempenda, wewe je!

Weee! Hiyo ni moja ya kitu sintakuja kufanya maishani. Tena kama nimekosa lotions za Nivea au Vaseline (ndo nnazo ziamini kutoniharibu ngozi) ni bora nitumie mafuta yao ya mgando au kupaka Olive oil. Yaani naupenda weusi wangu mpaka najitongozaga mwenyewe sometimes.
Daah umentamanisha wallah vile
 
Mkuu nenda Ukerewe, kuna wasabato kibao wametulia
Na akae naye huko huko maana akija mjini atawakuta wenye mji atabadilika kuwazidi hata wa mjini, yeye amuombe Mungu amtengenezee wakwake peke yake, hata yeye wapo wasio vutiwa naye namuona kama[emoji117] [emoji90] [emoji90]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom