Hii ndio aina ya Bunge tulitakalo, tukilipata nchi itasonga mbele

Chadema ndani hamuyawezi sembuse bunge ? Mbunge tu wa chadema kuhudhuria vikao vya bunge mnamfukuza uanachama.mtu akitaka tu kugombea cheo Cha uenyekiti chadema taifa nongwa hayo ya malema mtayaweza ikiwa huko ndani tu chamani kwenu hamkuwezi

Wenzenu akina malema ndani ya chama Chao wanakuweza kabla kwenda bungeni
Nyani haoni kundule. Yule kutia nia tu na kadi mmeichukua , huko mnakoyaweza ni lini mwenyekiti alishindanishwa na mwingine? Au umeshasahau kuwa kuna makada waliambiwa warudi kwao?
 
Sisi tulikua tumekaribia kufikia hii kitu lakini awamu fulani ilipokuja ndio ikaturudisha nyuma, so kwa sasa bado safari ni ndefu kufikia.
Ni kweli maana hata hamasa ya wananchi kwenye maswala ya kisiasa imeshuka mno.
Hawamu iliyopita watu walikua wanafatilia siasa, wanasiasa na maswala ya bunge. Vijana vyuoni ndo usipime, hawamu hii ya uhakiki kila kitu kimerudi nyuma kama enzi za chama kushika hatamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku kwetu limegeuka nyumba ya ibada ambapo kila anayesimama kuongea anamsifu na kumuabudu bwana yule. Yaani kwa siku anatajwa kuliko hata Mungu.
 


Najaribu kuona Julius Malema anavyoruhusiwa kupambana bungeni tena mbele ya Rais na hoja zinabishaniwa kwa hoja napata raha sana.

Je, hali kama hii ingetokea katika Bunge la TZ au tuseme Bunge la Ndugai ingekuwaje? Uhuru huu wa mawazo ungeruhusiwa nchi yetu ingefika wapi kimaendeleo?

Tunakwama sana mambo mengi na sababu ni kuwa kuna miungu watu ambao hata wakiharibu hawahojiwi hata kusemwa tuu nayo ni hatari kwani DPP na polisi wanaweza kutumiwa kukupa mateso na wengine wakajikunyata.

2020 ndio nafasi pekee ya kubadili mambo na kutoa Uhuru mkubwa kwa Bunge baada ya kuhakikisha Tumehuru ya uchaguzi inaundwa na watu wakatumia haki yao na ikaheshimiwa.
Wakuu kuna mambo matatu ambayo inabidi uwenayo makin :

1. Siasa.
2.Dini
3..…….( Tafta)
Hayo mambo ndiyo chanzo cha vita na machafuko.
Najua humu kua vijana wenzangu wengi Ila always msikubali kuwa watumwa wa mambo hayo, jifunze kuendesha maisha yako mwenyewe.
 


Najaribu kuona Julius Malema anavyoruhusiwa kupambana bungeni tena mbele ya Rais na hoja zinabishaniwa kwa hoja napata raha sana.

Je, hali kama hii ingetokea katika Bunge la TZ au tuseme Bunge la Ndugai ingekuwaje? Uhuru huu wa mawazo ungeruhusiwa nchi yetu ingefika wapi kimaendeleo?

Tunakwama sana mambo mengi na sababu ni kuwa kuna miungu watu ambao hata wakiharibu hawahojiwi hata kusemwa tuu nayo ni hatari kwani DPP na polisi wanaweza kutumiwa kukupa mateso na wengine wakajikunyata.

2020 ndio nafasi pekee ya kubadili mambo na kutoa Uhuru mkubwa kwa Bunge baada ya kuhakikisha Tumehuru ya uchaguzi inaundwa na watu wakatumia haki yao na ikaheshimiwa.

Hawa jamaa nawakubali kabisa,walimwaga damu wakitafuta haki sawa kwa wote kwa miaka mingi.
Mwanzoni walipopata uhuru walifikiri viongozi wa ANC ni kinyume na Utawala wa makaburu,kumbe sio kila kitu.Walipojitambua wakangaka kama mbwa mwitu.
Kwetu ni vigumu sababu kuna elements za unafiki mioyoni mwetu.
 


Najaribu kuona Julius Malema anavyoruhusiwa kupambana bungeni tena mbele ya Rais na hoja zinabishaniwa kwa hoja napata raha sana.

Je, hali kama hii ingetokea katika Bunge la TZ au tuseme Bunge la Ndugai ingekuwaje? Uhuru huu wa mawazo ungeruhusiwa nchi yetu ingefika wapi kimaendeleo?

Tunakwama sana mambo mengi na sababu ni kuwa kuna miungu watu ambao hata wakiharibu hawahojiwi hata kusemwa tuu nayo ni hatari kwani DPP na polisi wanaweza kutumiwa kukupa mateso na wengine wakajikunyata.

2020 ndio nafasi pekee ya kubadili mambo na kutoa Uhuru mkubwa kwa Bunge baada ya kuhakikisha Tumehuru ya uchaguzi inaundwa na watu wakatumia haki yao na ikaheshimiwa.
Muda umeisha hiyo tume huru itapatikana lini? Tena kipindi hiki cha corona kutakuwa hakuna mikusanyiko (kampeni) ukishapiga kura kalale nyumbani kura zitajumlishwa na watu wachache kuepusha corona kwa mtindo huu wakosoaji bungeni harudi hata mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom