Hii nchi tulipata laana? Tuna tatizo kubwa la kutekeleza miradi mikubwa

Na kubalini kwamba Kenya sio wenzenu. Nchi yenye GDP ya 106 Bilion USD unalinganishaje na nchi yenye 62B USD? Huoni hiyo tifauti? Bajeti yao ni TZS. 73.2T wakati bajeti yetu ni TZS. 35T.
 
Wakati tunaangaika na Reli wenzetu kwenye mwaka wa tatu huu SGR yao ishaanza kazi na inabeba mzigo kweli kweli kutoka Mombasa kwenda Nairobi.

Wakati tunabishana na bandari ya Bagamoyo wenzetu Kenya tayari bandari ya lamu walishazindua na itakuwa inabeba mzigo wa Somalia, Sudani, Ethiopia na nchi zingine sisi ndio kwanza tunabishana juu ya mradi ufanyike au usifanyike!

Wakati tunafunga Maduka ya kubadilishia pesa wenzetu Kenya Ukiwa Nairobi hata SAA 9 usiku unabadilisha pesa yako maduka ya kubadilisha pesa yamejaa kila konda mtaani na kwenye mahoteri.

Wakati tunajenga barabara kubwa ya kwenda kibaha wenzetu walishajenga Thika highway miaka 10 iliyopita tena Thika highway haina kizuizi cha taa hata kimoja yaani ukitoka umetoka mpaka unafika unakoenda ila sisi angalia tunavyopanua ile barabara kwenda kibaha kama kweli itaruhusu movement ya magari kutoka mjini bila kusimama mpaka kibaha na hiyo stand ya Magufuli pale mbezi.

Angalia madaraja yaliyojengwa halafu yanawekewa taa hii kitu haipo unapojenga fly over duniani kote unatakiwa kuweka njia za automatic rotation ya magari yote kutoka sehemu zote! Madaraja yote yanayojengwa kwenye makutano Dar yanahitaji marekebisho makubwa.

Juzi tulibishana kuhusu Mahindi kupelekwa Kenya wenzetu wakaja na wazo la kujenga mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao utaweza kulisha Kenya na kuuza nje chakula na usishangae wakaanza kutuuzia tena mahindi kwa bei nafuu kuliko sisi tunavyowauzia.


Nchi yetu ina shida sana kwenye kufanya project kubwa kubwa
Bwesheeeee sisi tunajenga Sanamu la Mwenda zake
 
Mkuu umeshafanya utafiti kujiridhisha kwa hiyo miradi yote kabla ya kulinganisha?

Fanya tu hata Impact assessment ya hiyo miradi kwanza kwa Tz na Kenya kabla ya kuja kulinganisha kiholela
 
Hao si ndiyo wazee wa fursa, unaamin kabisa wanapotoka Vyama pinzani kuingia CCM wanakua na nia ya dhati ya kiuongozi,?!!

Tatizo ni CCM, ukiingia kule n fursa, kaz yko n kumsifu na kumsujudia Raisi il Tumbo linenepe!
Fursa chadema ni chuo Kazi ccm
 
Kenya imejaa ufisadi wa kutisha,

Bandari siyo yao kwa miaka 100 ijayo pia SGR yao ni ya bei ya juu kuliko SGR ya Tanzania ambayo ni ya umeme!!

We bandari yako uliyonayo kwa miaka 100 ikowapi? SGR yako ya umeme iko wapi? Wenzenu wanaanza kurudisha pesa nyie bado mpo kwenye ujenzi miaka nenda rudi
 
Nchi yetu inaongozwa na mijitu isiyoelewa chochote kuhusu kinachoendelea duniani hasa lile lisanamu la Chato lililotaka mpaka kujiongezea muda wa kukaa magogoni wakati lilokuwa likojijua linaishi kwa msaada wa betri ya mchina
Wewe ni mpuzi hakuna kiongozi yeyote nchi hii mwenye uthubutu kiwango alicho kuwa nacho Magufuli nakwambia alijitahidi sana kusimamia na kufanya miradi kwa vile mmejaa unafiki na ubabaishaji hamlioni hilo.
 
Wakati tunaangaika na Reli wenzetu kwenye mwaka wa tatu huu SGR yao ishaanza kazi na inabeba mzigo kweli kweli kutoka Mombasa kwenda Nairobi.

Wakati tunabishana na bandari ya Bagamoyo wenzetu Kenya tayari bandari ya lamu walishazindua na itakuwa inabeba mzigo wa Somalia, Sudani, Ethiopia na nchi zingine sisi ndio kwanza tunabishana juu ya mradi ufanyike au usifanyike!

Wakati tunafunga Maduka ya kubadilishia pesa wenzetu Kenya Ukiwa Nairobi hata SAA 9 usiku unabadilisha pesa yako maduka ya kubadilisha pesa yamejaa kila konda mtaani na kwenye mahoteli.

Wakati tunajenga barabara kubwa ya kwenda Kibaha wenzetu walishajenga Thika highway miaka 10 iliyopita tena Thika highway haina kizuizi cha taa hata kimoja yaani ukitoka umetoka mpaka unafika unakoenda ila sisi angalia tunavyopanua ile barabara kwenda Kibaha kama kweli itaruhusu movement ya magari kutoka mjini bila kusimama mpaka Kibaha na hiyo stand ya Magufuli pale Mbezi.

Angalia madaraja yaliyojengwa halafu yanawekewa taa hii kitu haipo unapojenga fly over duniani kote unatakiwa kuweka njia za automatic rotation ya magari yote kutoka sehemu zote! Madaraja yote yanayojengwa kwenye makutano Dar yanahitaji marekebisho makubwa.

Juzi tulibishana kuhusu Mahindi kupelekwa Kenya wenzetu wakaja na wazo la kujenga mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao utaweza kulisha Kenya na kuuza nje chakula na usishangae wakaanza kutuuzia tena mahindi kwa bei nafuu kuliko sisi tunavyowauzia.

Nchi yetu ina shida sana kwenye kufanya project kubwa kubwa
Si hamtaki maendeleo ya vitu acha tundelee na maendeleo ya watu hata sgr isipoisha ni sawa tu.
 
Unabomolea watu nyumba wanaishi miaka kibao hata ujazaliwa,wanalia kwa uchungu wanawake na wajane.
Kwann laana isiwepo,unawanyima watu haki ya kuishi kwann laana isiwepo
Wewe juh kipindi Magufuli hajatawala nchii hii mlikuwa na maendeleo mno ya maana yaani Tanzania kutoendelea amesababisha Magufuli? Hata vituo vya afya tu vilikuwa vimewashinda pia shule za zamani zilikuwa magofu kaja Magufuli karekebisha kwa sehemu kubwa, Leo mko hapa mnabweka eti laana. Nikwambie laana ni pamoja na kutokuwa na uwezo wa kusimamia na kuthubutu kufanya kitu.
 
Wewe ni mpuzi hakuna kiongozi yeyote nchi hii mwenye uthubutu kiwango alicho kuwa nacho Magufuli nakwambia alijitahidi sana kusimamia na kufanya miradi kwa vile mmejaa unafiki na ubabaishaji hamlioni hilo.
Yuko wapi sasa huyo shujaa wenu
 
Watakwambia Tzn tunawalisha EAC,hadi sasa mahindi yamedoda Zambia wamekuwa producer wakubwa,Kenya nk kwa hiyo soko hakuna.

Bongo serikali inajivuta vuta kusaidia kilimo cha parachichi wakati Uganda serika iko serious kusaidia wakulima,by 2025 Uganda watakuwa top producer.

Yaani hii nchi aisee hatuna wa kumlaumu kwa sehemu kubwa hata hao walioshika hatamu ni picha halisi ya jamii yetu.

Si umeona watu watu wanajenga sanamu ya Magu kwa zaidi ya Mil.400,taa za DC kwa zaidi ya mil.100 nk eti kumbukumbu ya mchango wa sekta binafsi,ukiuliza mchango gani wa kipee hakuna majibu.
 
Kenya imejaa ufisadi wa kutisha,

Bandari siyo yao kwa miaka 100 ijayo pia SGR yao ni ya bei ya juu kuliko SGR ya Tanzania ambayo ni ya umeme!!
Acha upumbavu wewe,kwa hiyo Kenya haipati mapato pale? Mradi unaendeshwa kwa ubia na muwekezaji kwa uwiano wa kila mtu alichowekeza.

Haya tufanye ndio hivyo leta Takwimu za mapato waliyopata Kenya kwa bandari/ Sgr na mapato ya hapa Tzn tulinganishe ndio uje kuropoka upumbavu wako hapa.
 
Miaka 60 ya uhuru bado tunasuasua, sababu ya kujazana kina Lusinde wanaowaza kuroga wenye upeo mkubwa
 
Wakati tunaangaika na Reli wenzetu kwenye mwaka wa tatu huu SGR yao ishaanza kazi na inabeba mzigo kweli kweli kutoka Mombasa kwenda Nairobi.

Wakati tunabishana na bandari ya Bagamoyo wenzetu Kenya tayari bandari ya lamu walishazindua na itakuwa inabeba mzigo wa Somalia, Sudani, Ethiopia na nchi zingine sisi ndio kwanza tunabishana juu ya mradi ufanyike au usifanyike!

Wakati tunafunga Maduka ya kubadilishia pesa wenzetu Kenya Ukiwa Nairobi hata SAA 9 usiku unabadilisha pesa yako maduka ya kubadilisha pesa yamejaa kila konda mtaani na kwenye mahoteli.

Wakati tunajenga barabara kubwa ya kwenda Kibaha wenzetu walishajenga Thika highway miaka 10 iliyopita tena Thika highway haina kizuizi cha taa hata kimoja yaani ukitoka umetoka mpaka unafika unakoenda ila sisi angalia tunavyopanua ile barabara kwenda Kibaha kama kweli itaruhusu movement ya magari kutoka mjini bila kusimama mpaka Kibaha na hiyo stand ya Magufuli pale Mbezi.

Angalia madaraja yaliyojengwa halafu yanawekewa taa hii kitu haipo unapojenga fly over duniani kote unatakiwa kuweka njia za automatic rotation ya magari yote kutoka sehemu zote! Madaraja yote yanayojengwa kwenye makutano Dar yanahitaji marekebisho makubwa.

Juzi tulibishana kuhusu Mahindi kupelekwa Kenya wenzetu wakaja na wazo la kujenga mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao utaweza kulisha Kenya na kuuza nje chakula na usishangae wakaanza kutuuzia tena mahindi kwa bei nafuu kuliko sisi tunavyowauzia.

Nchi yetu ina shida sana kwenye kufanya project kubwa kubwa
Moja ya watu wenye laana ni wewe mmoja wapo.

Wakati Hayati JPM anapambania miradi Mikubwa ya SGR, Meli, Hospotals, Bwana la umeme, Barabara sauti yako ilikuwa inataka maendeleo ya Watu.

Harafu tofautisha Highway zetu na nchi nyingine sio lazima zifanane. Za kwetu zinapita katikati ya mji za wenzetu zinapita pembezoni. Hivyo mataa ni lazima yawepo kuepusha mabalaa.
 
Angalia madaraja yaliyojengwa halafu yanawekewa taa hii kitu haipo unapojenga fly over duniani kote unatakiwa kuweka njia za automatic rotation ya magari yote kutoka sehemu zote! Madaraja yote yanayojengwa kwenye makutano Dar yanahitaji marekebisho makubwa.
Hapa umenikuna, nilichotegemea pale Kijazi Bridge ni kuwepo mizunguko kama ifuatavyo:
  1. Mtu anayetoka mjini kwenda Mwenge, angekuja mpaka Tanesco ... Richmond, azunguke nyuma kule akatokee karibu na riverside ndiyo ashike njia ya Sam Nujoma.
  2. Mtu anayetoka Kimara kwenda Buguruni, angekuja mpaka Ubungo Terminal, azungukie akatokee Mawasiliano ndipo aingie Sam Nujoma
  3. Mtu anayetoka Buguruni kwenda Magomeni, angepita mpaka Chuo cha maji, aingie Morogoro Road
  4. Mtu atokaye Mwenge kwenda Kimara angekuja mpaka nyuma ya Songas mpaka somewhere karibu na Natural Gas pale ndipo ashike Morogoro road
Hiyo mizunguko ingeua Kijazi moja na kuondoa mgongano wa magari pale uvunguni
 
Angalia kwenye utalii pamoja na kujenga KIA international airport but bado watalii 80% wanakuja East Africa wanashukia Nairobi

Yaani tumeshindwa kutengeneza business plan ya jinsi gani watalii washuke moja kwa moja Tanzania?

Naomba serikali wanipe hii kazi Mimi nina uhakika ndani ya miaka 5 watalii wote watashika Hapa kwetu maana Nairobi hakuna vivutio vya watalii ila why washuke pale?
Tumeshindwa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Mwanza iliyo karibu na Serengeti kanda ya ziwa na magharibi na Mbeya kwa ajili ya selous kusini kisa kukosa mipango mikakati endelevu ya kuendeleza utalii.
 
Wakati tunaangaika na Reli wenzetu kwenye mwaka wa tatu huu SGR yao ishaanza kazi na inabeba mzigo kweli kweli kutoka Mombasa kwenda Nairobi.

Wakati tunabishana na bandari ya Bagamoyo wenzetu Kenya tayari bandari ya lamu walishazindua na itakuwa inabeba mzigo wa Somalia, Sudani, Ethiopia na nchi zingine sisi ndio kwanza tunabishana juu ya mradi ufanyike au usifanyike!

Wakati tunafunga Maduka ya kubadilishia pesa wenzetu Kenya Ukiwa Nairobi hata SAA 9 usiku unabadilisha pesa yako maduka ya kubadilisha pesa yamejaa kila konda mtaani na kwenye mahoteli.

Wakati tunajenga barabara kubwa ya kwenda Kibaha wenzetu walishajenga Thika highway miaka 10 iliyopita tena Thika highway haina kizuizi cha taa hata kimoja yaani ukitoka umetoka mpaka unafika unakoenda ila sisi angalia tunavyopanua ile barabara kwenda Kibaha kama kweli itaruhusu movement ya magari kutoka mjini bila kusimama mpaka Kibaha na hiyo stand ya Magufuli pale Mbezi.

Angalia madaraja yaliyojengwa halafu yanawekewa taa hii kitu haipo unapojenga fly over duniani kote unatakiwa kuweka njia za automatic rotation ya magari yote kutoka sehemu zote! Madaraja yote yanayojengwa kwenye makutano Dar yanahitaji marekebisho makubwa.

Juzi tulibishana kuhusu Mahindi kupelekwa Kenya wenzetu wakaja na wazo la kujenga mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao utaweza kulisha Kenya na kuuza nje chakula na usishangae wakaanza kutuuzia tena mahindi kwa bei nafuu kuliko sisi tunavyowauzia.

Nchi yetu ina shida sana kwenye kufanya project kubwa kubwa
Picha tafadhali
 
Back
Top Bottom