Hii nchi tulipata laana? Tuna tatizo kubwa la kutekeleza miradi mikubwa

Inabidi tuachane kwanza na haya mawazo ya kudhani kuwa kila masahibu yanayotukabili yanatoka nje ya nchi. Hakuna aliyetulaani wala hakuna mtu au kitu kinacholaani nchi zisiendelee. Waswahili walisema "Kikulacho Ki Nguoni Mwako" tujiangalie kwanza ndani na kujisahihisha kabla hatujaangalia nje kwa hao tunaowaita ana mabeberu au wadau wa maendeleo.
 
Laana zinazoikabili nchi hii zinasababishwa na kukimbiza mwenge.
Ukisoma kitabu Cha Isaya 50:11 inaeleza wazi kwamba mkikimbiza mwenge mtalala kwa huzuni, yaani hamtakaa mfanikiwe kamwe

Ina maana bro huendagi kwenye mkesha wa mwengeee???
 
Usiige kila ki2 kisa fulani kafanya ..mengine si kwa ajiri yenu eg. S. Africa
 
sasa kwan wewe ndo utarudi ukienda? we ni mfu mtarajiwa tu
Harudi tenaaaa alidhan anamiliki pumzi akaua na kuonea watu harudi tenaaaaaaaaaa kuonea watu. Mimi sijaua sijaonea hata nikienda naondoka msafi. Yeye liliua likidhani litaishi milele
 
Nchi yetu inaongozwa na mijitu isiyoelewa chochote kuhusu kinachoendelea duniani hasa lile lisanamu la Chato lililotaka mpaka kujiongezea muda wa kukaa magogoni wakati lilokuwa likojijua linaishi kwa msaada wa betri ya mchina
Una laana sana wewe kati ya wewe na ukoo wako wote na Hawa wazee nani wenye ufahamu mzuri
 

Attachments

  • VID-20210705-WA0082.mp4
    8 MB
  • VID-20210705-WA0032.mp4
    8.1 MB
Wewe juh kipindi Magufuli hajatawala nchii hii mlikuwa na maendeleo mno ya maana yaani Tanzania kutoendelea amesababisha Magufuli? Hata vituo vya afya tu vilikuwa vimewashinda pia shule za zamani zilikuwa magofu kaja Magufuli karekebisha kwa sehemu kubwa, Leo mko hapa mnabweka eti laana. Nikwambie laana ni pamoja na kutokuwa na uwezo wa kusimamia na kuthubutu kufanya kitu.
Kula mtu yupo huru ana furaha, Hakuna tena Ubambikaji kesi, viroba baharini, utekaji yaani amani kabisa.
 
Angalia kwenye utalii pamoja na kujenga KIA international airport but bado watalii 80% wanakuja East Africa wanashukia Nairobi

Yaani tumeshindwa kutengeneza business plan ya jinsi gani watalii washuke moja kwa moja Tanzania?

Naomba serikali wanipe hii kazi Mimi nina uhakika ndani ya miaka 5 watalii wote watashika Hapa kwetu maana Nairobi hakuna vivutio vya watalii ila why washuke pale?
Nitakusaidia bega kwa bega

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi bana, sasa ndo umeandika nn apa, toka hio sgr imeanza mpaka leo phase 3 hawajui inatakiwa kwenda kuishia wap + mpaka sasa hilo shirika halikua na business planning nzuri, though its a nice project haikutakiwa kukurupa

  • Bandari ya Lamu umeiona?
  • Serikali ya kenya haimiliki ardhi ata bomba la mafuta lilikwama kwa sababu ya migogoro ya ardhi

IS THIS THE DIRECTION YOU WANT TZ IENDE?
above all the national dept its 80% kama sjakosea in respect to gdp, umelogwa?
Hauko informed kabisa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Angalia kwenye utalii pamoja na kujenga KIA international airport but bado watalii 80% wanakuja East Africa wanashukia Nairobi

Yaani tumeshindwa kutengeneza business plan ya jinsi gani watalii washuke moja kwa moja Tanzania?

Naomba serikali wanipe hii kazi Mimi nina uhakika ndani ya miaka 5 watalii wote watashuka Hapa kwetu maana Nairobi hakuna vivutio vya watalii ila why washuke pale? Serikali hamna majibu Mimi ninayo
Labda uanze kusifia CCM ndio utapewa hiyo kazi.
 
Back
Top Bottom