Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,953
- 3,449
Naona vipepeo mnakubali kuingia katika njama ya kidini, protoko za kidini na maazimio ya kusema hadi kieleweke.
Idara zikiongozwa kidini yetu macho Nawahakikishia mkiruhusu hili swala liende kidini kama mlivyoanza hamtafika popote na mtalaumiwa.
Sasa shindaneni atakayeshindwa atalia tuu sisi tunatahadharisha
Tengenezeni kukubaliana na kama hamkubaliani acheni hilo swala. Sisi ni watanzania hatuwezi ku risk kisa wageni. Kengele ikilia mchezo umeisha.
Chonde haliwezekani acheni
Idara zikiongozwa kidini yetu macho Nawahakikishia mkiruhusu hili swala liende kidini kama mlivyoanza hamtafika popote na mtalaumiwa.
Sasa shindaneni atakayeshindwa atalia tuu sisi tunatahadharisha
Tengenezeni kukubaliana na kama hamkubaliani acheni hilo swala. Sisi ni watanzania hatuwezi ku risk kisa wageni. Kengele ikilia mchezo umeisha.
Chonde haliwezekani acheni