Hii nayo kwa Vodacom mmezidi

Hii nayo kwa Vodacom mmezidi

Hakuna mtandao bora tz kuzidi Vodacom japokuwa ni kwel kabisa wana gharama kubwa sana
Fafanua. Ubora katika nini. Mimi Vodacom naitumia kwenye M- pesa tu, kwa kuwa wana mtandao mkubwa wa huduma hiyo. Huduma nyingine sijawahi kushawishika kuzitumia, 'too expensive'.
 
Fafanua. Ubora katika nini. Mimi Vodacom naitumia kwenye M- pesa tu, kwa kuwa wana mtandao mkubwa wa huduma hiyo. Huduma nyingine sijawahi kushawishika kuzitumia, 'too expensive'.
Huduma bora kwa kila idara, ukitumia ww mwnyw utajionea, mm nashindwa kuwa na mtandao mwingine mana Vodacom n Zaid yao mara 💯 na nshawah kuwa na lain za mitandao mingine lkn nikaishia kuzivunja
 
Huduma bora kwa kila idara, ukitumia ww mwnyw utajionea, mm nashindwa kuwa na mtandao mwingine mana Vodacom n Zaid yao mara [emoji817] na nshawah kuwa na lain za mitandao mingine lkn nikaishia kuzivunja
...Ila kwenye huduma ya Internet hawa jamaa hawafai. Ni Vibaka was Kutupa.

Muda mrefu nyuma nimekuwa nikitumia shs Alfu Mbili ninapata GB 2.5....
Juzi usiku nimetumia hizo hizo Alfu Mbili kununua kifurushi change pendwa nimeshituka sana kukuta sasa wanakwanyua GB moja nzima na Sasa kwa Buku zangu Mbili ninapata GB 1.5 tu....dah!....tens bila taarifa yoyote!![emoji35][emoji35]
 
Vodacom ni majambazi kama majambazi wengine kwa upande wa gharama

Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba majambazi hawa ndio wenye network nzuri kwa maana ya speed na coverage yao plus mpesa
 
Aiseeee vodacom ni majangili leo nimeenda kutoa laki mbili makato 5,300 wakati Halotel ni elfu 4....
 
Aiseeee vodacom ni majangili leo nimeenda kutoa laki mbili makato 5,300 wakati Halotel ni elfu 4....
no free lunch da ila kuna watu wanapiga hela kiurahisi nchii hii hatari
 
Back
Top Bottom