Vodacom Tanzania uvumilivu umenishinda

Vodacom Tanzania uvumilivu umenishinda

Mr JM

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
265
Reaction score
476
Habari wana Jf
Nimekuwa Mtumiaji wa vodacom kwa mda mrefu ila sasa nimevumilia nimeshindwa kero ni nyingi mno kubwa ya yote ni ulaji wa bando MB's mfano Jana jioni nimenunua GB 2 asubuhi naperuzi Instagram sms inaingia bando lako ni chini ya MB 0 kha nilichoka na sikuwa na matumizi makubwa kivile nilitumia IG,watsap jf na video moja wa dakika 4 YouTube na hii imeanza siku za karibuni mb's zinakimbia hatari yaani nikiweka 1gb au mb500 ni kama chanjo pia kero za kuchukua salio kwa kuniunga automatically na huduma zao za kijinga ambapo imepelekea kuacha kutumia salio la kawaida na kutumia mpesa zipo kero nyingi mno kwa huu mtandao pendwa lakini sijui wanadhani mimi bwenyenye shenzi kabisa sasa nabwaga manyanga Imetosha.

Nilikuwa mtumiaji wa line moja kwa mda nilikuwa natumia airtel na tigo pia walinifurahisha that time ila nikaachana nao mtandao ulikuwa hauko fasta kivile japo airtel walikuwa na offer za maana nazikumbuka kweli GB 2 kwa buku japo slow but sure unazitumia paka unaridhika ila hawa vodacom sio kabisa wamekuwa kero unajiunga bando ila huna raha kulitumia maana kidogo tu unashtuka SMS ya vodataarifa hawa jamaa wamekuwa sikio LA kufa japo nimelalamika sana customer care Ila wapi.

Kwenu watumiaji wa Airtel,tigo,halotel na ttcl naombeni ushauri mtandao UPI ni mzuri kigezo kikuu kiwe bando LA Internet kwa bei nafuu na spidi tofauti na hawa takataka vodacom, karibu utiririke.
 
Mm kero yangu kubwa ni kuondoa huduma ya kuongea na mhudumo direct through main menu.
yaani mpk upitie vichochoroni hukooo,
Yaani hawa mabwege wanakera wanajua wanazingua ni katika kukwepa malalamiko Mimi na wao inatosha
 
Sema insta inakula bundle angalia matumizi yako kwanza kabla ya yote
Maana ukiwapigia watakwambia angalia matumizi yako
Kweli simu inaonesha matumiz ya internet.
Inatakiwa kufatilia kwenye simu yako kwanza ndio itakupa ukweli.
 
Kweli simu inaonesha matumiz ya internet.
Inatakiwa kufatilia kwenye simu yako kwanza ndio itakupa ukweli.
Watu wengi wanakosea hapo hua hawaangalii wanakimbilia kutoa lawama
 
Habari wana Jf
Nimekuwa Mtumiaji wa vodacom kwa mda mrefu ila sasa nimevumilia nimeshindwa kero ni nyingi mno kubwa ya yote ni ulaji wa bando MB's mfano Jana jioni nimenunua GB 2 asubuhi naperuzi Instagram sms inaingia bando lako ni chini ya MB 0 kha nilichoka na sikuwa na matumizi makubwa kivile nilitumia IG,watsap jf na video moja wa dakika 4 YouTube na hii imeanza siku za karibuni mb's zinakimbia hatari yaani nikiweka 1gb au mb500 ni kama chanjo pia kero za kuchukua salio kwa kuniunga automatically na huduma zao za kijinga ambapo imepelekea kuacha kutumia salio la kawaida na kutumia mpesa zipo kero nyingi mno kwa huu mtandao pendwa lakini sijui wanadhani mimi bwenyenye shenzi kabisa sasa nabwaga manyanga Imetosha.

Nilikuwa mtumiaji wa line moja kwa mda nilikuwa natumia airtel na tigo pia walinifurahisha that time ila nikaachana nao mtandao ulikuwa hauko fasta kivile japo airtel walikuwa na offer za maana nazikumbuka kweli GB 2 kwa buku japo slow but sure unazitumia paka unaridhika ila hawa vodacom sio kabisa wamekuwa kero unajiunga bando ila huna raha kulitumia maana kidogo tu unashtuka SMS ya vodataarifa hawa jamaa wamekuwa sikio LA kufa japo nimelalamika sana customer care Ila wapi.

Kwenu watumiaji wa Airtel,tigo,halotel na ttcl naombeni ushauri mtandao UPI ni mzuri kigezo kikuu kiwe bando LA Internet kwa bei nafuu na spidi tofauti na hawa takataka vodacom, karibu utiririke.

Mkuu kama ulikua hujui ni kwamba hakuna kitu kinakula data kama instagram. Ukitaka kuamini hebu weka izo gb 2 halafu usiingie kabisa insta au youtube uone kama utaweza kuzimaliza ndani ya masaa 24.
 
Hivi huwa mnashikiwa panga shingoni kutumia huu mtandao wa wanyang'anyi??

Nauliza tu.




Wanangu wa A town inakuaje??
 
ha kwa insta tu ndonpake apo mkuu mtandao ukiwa poa ya ile one tap video karibu zote zinakuwa saved na picha piakwa ww unashuka tu kama kagazeti flan nimtoto ila sio ishu ldownload app inaitwa internet speed meter inapima speed na data zilizo tumika
 
Sema insta inakula bundle angalia matumizi yako kwanza kabla ya yote
Maana ukiwapigia watakwambia angalia matumizi yako
Ni kweli insta inakula mb ila sina imani na hawa jamaa hata data usage sielewielewi inakuwaje GB iishe fasta kila Leo
 
Back
Top Bottom