Mbona umemtaja mtu? Kuna jina hapo?
Chunguzeni na miamala yake benki asijekuwa akifua hatakatishiHUYU LAZIMA ATAELEZA NI CHUO GANI ALISOMEA UCHORAJI
JE ANALIPIA KODI KATIKA KAZI ZAKE?
ANA VIBALI VYOTE VYA KAZI HIYO? NA ALIPATA VIPI VIBALI HIVYO
Kabisa.Ss jamani mbn km mmeshamjua huyo aliyechorwa? Km ni hvyo bac jamaa ni mtaalamu wa kuchora .
duh.....
Hahahahaa hafananii kabisa