chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,361
- 27,740
Habari za majukumu wana-Jf,.
Hapa nazungumzia mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara,.
Siyo jambo la siri mikoa hii ipo nyuma sana kimaendeleo au naweza kusema imesahaulika katika sura ya nchi yetu,.
Huwezi kulinganisha mikoa hii na mikoa mingine Tanzania kama Kilimanjaro, Mbeya na mingine ambayo imepiga hatua katika suala la maendeleo, uchumi na hata elimu,.
Nalitaka kujua kulikoni kwa hii mikoa kuwa nyuma katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo,.
Lengo la huu uzi siyo lingine zaidi ya kufahamu sababu za hii mikoa kuwa nyuma kwa hiyo mizaha na matusi hayatakuwa na tija katika kujuzana.
Hapa nazungumzia mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara,.
Siyo jambo la siri mikoa hii ipo nyuma sana kimaendeleo au naweza kusema imesahaulika katika sura ya nchi yetu,.
Huwezi kulinganisha mikoa hii na mikoa mingine Tanzania kama Kilimanjaro, Mbeya na mingine ambayo imepiga hatua katika suala la maendeleo, uchumi na hata elimu,.
Nalitaka kujua kulikoni kwa hii mikoa kuwa nyuma katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo,.
Lengo la huu uzi siyo lingine zaidi ya kufahamu sababu za hii mikoa kuwa nyuma kwa hiyo mizaha na matusi hayatakuwa na tija katika kujuzana.