Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Utamuaminije mtu bila maandishi na wewe kama msomi wa shahada? watu wa kawaida wanajifunza nini kutoka kwako kama hakuna written agreement/document? mfano ingetokea akafa japo hatuombei, nani angetambua makubaliano yenu ya mdomo?makubaliano ni mimi kufanya kazi na yeye kunilipa mshahara, lakini nlipoona analimbikiza miezi nilimuuliza akasema hamna shida atanilipa hela yote bila shida, nlimuamini kwa kuwa ni mtu na heshima zake za juu tu, lakini saivi kanichenjia
