Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Katika awamu ya Tatu, tulikuwa na mikakati mingi kama ifuatayo: Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA), Mkakati wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara kwa Wanyonge Tanzania (MKURABITA), Mkakati wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES), Mkakati wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM).Mikakati ilikuwa na malengo mazuri na yenye nia ya kuendeleza nchi yetu. Katika miaka ya karibuni, sijasikia tena mikakati hii kuongelewa. Je, Mikakati bado hipo? Imefikia wapi? Je, awamu ya Nne iliichukua mikakati hii na kuiendeleza au ndio imeshatupwa kapuni?
Mdau
Dr Faustine
Mkuu; Faustine
Mkakati mwingine unaitwa MKUMBITA kirefu chake sikijui, wanaokijua wakimwage hapa.
Mdau
Dr Faustine
Mkuu; Faustine
Mkakati mwingine unaitwa MKUMBITA kirefu chake sikijui, wanaokijua wakimwage hapa.